Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,894
- 31,102
Mgombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA kata ya Kati mjini Arusha Bwana Simba aumizwa vibaya kituo cha polisi wilaya ya Arusha.Bwana Simba alikamatwa na polisi kwa sababu ambazo bado sijazithibitisha.
Bwana Simba alishambuliwa vibaya na watuhumiwa wenzake aliowakuta wamewekwa rumande katika kituo cha polisi hadi kuzimia na baadae kukimbizwa hospital ya mkoa wa Arusha [Mt meru Hospital] kwa matibabu.
Bwana Simba alishambuliwa vibaya na watuhumiwa wenzake aliowakuta wamewekwa rumande katika kituo cha polisi hadi kuzimia na baadae kukimbizwa hospital ya mkoa wa Arusha [Mt meru Hospital] kwa matibabu.