Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Macho mnayo ila hamuoni. Masikio manayo ila hamsikii. Midomo mnayo ila :tape:. Laiti mngalijua nguvu ya Kura mnayoichezea, msinge wasikiliza waliobadili maudhui ya chama tunacho kifahamu sote...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1. John shibuda 2. Arcado ntagazwa 3. Tundu lisu 4. James mbatia 5. John mnyika 6. Freeman mbowe 7. Augustine mrema 8. Kafulila 9........... Kuna wengine??? Hii timu itakuwa inatisha sana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
dalili zinaonyesha mambo sasa yameiva na muda umefika...toka jana makaratasi ya kupigia kura yameanza kusambazwa kwenda kwenye mikoa mbalimbali yakitokea bohari kuu ya serikali, hali ya ulinzi ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
For all the remarkable campaign Dr. Slaa has done,with the changes we(Tanzanians) are eager to make and with efforts of newspapers well wishers from and outside tanzania can and ONLY spoiled by...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna hii taarifa ya mwaka ya World Economic Forum inaonesha viashiria muhimu vya uchumi kwa Tanzania. Kwenye vikwazo vikubwa vya kufanya 'business' cha kwanza kabisa 'corruption'. JK na CCM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana usiku nimepata message kupitia namba yangu ya tiGo ikinitaka nimchague mgombea wao Kikwete kwa sera nzuri za CCM. Nilishtuka sana na kujiuliza wameipata wapi namba yangu. Nilipolala nikaota...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau, Nimetoka kuingia katika website ya NEC ambapo nimeweka nambari yangu ya mpiga kura na kuweza kupata online status ya wapi kituo changu kinapatikana. Taarifa niliyoipata kwenye web pamoja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
what goes around comes around!kutokana na kichwa kikubwa cha habari leo kwenye gazeti la umma habari leo kusema"ahadi za slaa hazitekelezeki",napendekeza pia kesho waandike ahadi zifuatazo za...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ili kumuenzi Jakaya Mrisho Kikwete ningependekeza raisi mtarajiwa akipe chuo cha Saana Bagamoyo Jina la Jakaya Mrisho Kikwete International College on Cultural and Entertainment, na kuongeza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
JK amesema CCM watashinda uchaguzi na kuendelea kushika dola baada ya kufanya tathmini wakati akizunguka nchi nzima kwenye kampeni kwa sababu wanakubalika(Mwananchi 20 Oct. 2010). Tathmini yake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nasema ushauri kwa chadema maana ndicho chama hapa bara ambacho kinawatia wasiwasi cccm na kinawindwa kila kukicha, taarifa za tetesi nyingi zilizokwisha fikishwa hadi sasa juu ya hujuma za...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari wana JF. 31th oct, napiga kura yangu kwa mara ya kwanza na nahisi nawakilisha walio wengi tuu. sasa nawaomba wale wadau ambao walishapiga kura hapo awali kunithibitishia kama kweli kura...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
udiwani sasa anavaa nguo rasmi na Ahmed Makongo, Bunda MGOMBEA udiwani wa kata ya Balili, kwa tiketi ya CCM, Edda Motte, ambaye hivi karibuni mgombea urais kwa tiketi ya cham hicho, Jakaya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: ZITTO KABWE AUZA NGUO ZAKE MKUTANONI KUMCHANGIA MGOMBEA WA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI ,WANANCHI WAUNGA MKONO WACHANGIA ZAIDI YA TSH LAKI NANE
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za uhakika nimejulishwa na rafiki yangu toka Bukombe kuwa Jeshi la polisi linawashikilia watu waliokamatwa wakinunua shahada ZA KUPIGIA KURA.jESHI HILO IMEBIDI LIFANYE KAZI YA ZIADA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa zaidi ya miaka mitano wapenda mabadiliko tumekuwa tukiapashana habari, kubadilishana uzoefu n.k kwa kutumia njia mbali mbali ikiwemo jamii forum. Kwa hakika kupitia jf tumenufaika sana na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwalimu wa Nyerere ataka CCM iadhibiwe Na George Marato Mwalimu aliyemfundisha baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere katika shule ya msingi, amesema adhabu pekee ya kukipa Chama cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa sisi tulio mbali na mjini tunaomba mtuwekee mchakato majimboni iliyorushwa na TBC 1 jana Jumanne katika jimbo la Mbeya Vijijini. Natanguliza Shukurani,na Kiswahili yangu ni poa tuu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuwa rangi za jezi za timu ya yanga ni kajani na njano ambazo pia ni za CCM,natilia shaka kuwa ndio dalili njema kwa ushindi wa CCM katika uchaguzi utakaofanyika tar 30/10/2010.jamani ni maoni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom