ili kumuenzi Jakaya Mrisho Kikwete ningependekeza raisi mtarajiwa akipe chuo cha Saana Bagamoyo Jina la Jakaya Mrisho Kikwete International College on Cultural and Entertainment, na kuongeza mitaala ya chuo kwenye maeneo mengine ya utamaduni na viburudisho kama taara, bongo fleva/flava, ngoma, hii pia itakuza maendeleo ya hapo Bagamoyo na kuongeza ajira, pamoja na utalii wa vitu vya utamaduni na viburudisho, na pia kusaidia au wa vutia akina bush na wengineo kuja tena bongo. tunaweza kupafanya pakawa Bwagahood yetu