MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
nasema ushauri kwa chadema maana ndicho chama hapa bara ambacho kinawatia wasiwasi cccm na kinawindwa kila kukicha,
taarifa za tetesi nyingi zilizokwisha fikishwa hadi sasa juu ya hujuma za ccm wakishirikiana na vyombo vya dola si za kupuuza.
nasema si za kupuuza maana tayari baadhi ya hizo tetesi tunaona zikitokea, mfano juu ya kuingizwa kwa kura feki toka south africa, na kwamba kura hazikutengenezewa uk bali south etc,
tetesi nyingine zilizokwisha wasilishwa hapa ni juu ya uchakachuaji wa matokea kwa kutumia teknologia, wizi etc, kura feki kuwasili kwenye vituao kuanzia tarehe 25 mwezi huu, kufanyika kwa fujo kwenye vituo kwa lengo la kupitisha kura feki ndani ya vituo, huku polisi wakitumika kuwahoji mawakala pembeni kwa lengo kutoa mwanya wa shughuli hiyo. Tetesi za mwanzoni mwa kampeni zilikuwa kwamba ccm inapanga kutumia maisha binafsi ya silaha na kisingizio cha udini, hili tumeliona. Nyingine ilisema redet wanataka kutoa taarifa kuonesha kuwa ccm inakubalika kwa kiwango kikubwa, hili nalo tumeliona.
hata hivyo hizi tetesi nyingi zinaharufu ya ukweli ndani yake baada ya kuona nec ikiwataarifu mawakala mapema kwamba hata wasipotia saini form haiwezi kubadili chochote, kutishia wanachi wasikae karibu na vituo vya uchaguzi kusubiria n.k.
huku tukiwa tunasubiria kama kweli haya ndiyo yanayoendelea, nataka kushauri chadema wazichukulie kwa umakini tetesi kama hizi. Hatua ya kwanza ni kuwataarifu waangalizi wa kimataifa kuwa wanahisi haya yatatokea, na yatakapotokea ieleweka kwamba hawakuwachongea bali ndivyo yalivyokuwa yamepangwa.
la pili ni kutumika kwa nguvu ya ziada ya kulinda kura toka kwenye vituo hadi kwenye majumuisho yake. Kuwe na independent committe pia ya chadema ya kujumlisha matokeo yatakayokuwa pia yakitumwa kwa njia ya simu na mawakala wao, na sio kusubiria ya nec ambayo yanaweza kuwa yamekwisha kuchakachuliwa na computer.
mawakala hapa watatakiwa wale kiapo cha kutoasi, na waonyeshe ujasiri wa kuhakikisha kuwa kila kituo wanakagua hadi daarini kama lipo dari, maana wanaweza kuweka vitu huko kwenye madari pia.
kuangusha utawala wa kimabavu, kunahitajika juhudi za ziada.
taarifa za tetesi nyingi zilizokwisha fikishwa hadi sasa juu ya hujuma za ccm wakishirikiana na vyombo vya dola si za kupuuza.
nasema si za kupuuza maana tayari baadhi ya hizo tetesi tunaona zikitokea, mfano juu ya kuingizwa kwa kura feki toka south africa, na kwamba kura hazikutengenezewa uk bali south etc,
tetesi nyingine zilizokwisha wasilishwa hapa ni juu ya uchakachuaji wa matokea kwa kutumia teknologia, wizi etc, kura feki kuwasili kwenye vituao kuanzia tarehe 25 mwezi huu, kufanyika kwa fujo kwenye vituo kwa lengo la kupitisha kura feki ndani ya vituo, huku polisi wakitumika kuwahoji mawakala pembeni kwa lengo kutoa mwanya wa shughuli hiyo. Tetesi za mwanzoni mwa kampeni zilikuwa kwamba ccm inapanga kutumia maisha binafsi ya silaha na kisingizio cha udini, hili tumeliona. Nyingine ilisema redet wanataka kutoa taarifa kuonesha kuwa ccm inakubalika kwa kiwango kikubwa, hili nalo tumeliona.
hata hivyo hizi tetesi nyingi zinaharufu ya ukweli ndani yake baada ya kuona nec ikiwataarifu mawakala mapema kwamba hata wasipotia saini form haiwezi kubadili chochote, kutishia wanachi wasikae karibu na vituo vya uchaguzi kusubiria n.k.
huku tukiwa tunasubiria kama kweli haya ndiyo yanayoendelea, nataka kushauri chadema wazichukulie kwa umakini tetesi kama hizi. Hatua ya kwanza ni kuwataarifu waangalizi wa kimataifa kuwa wanahisi haya yatatokea, na yatakapotokea ieleweka kwamba hawakuwachongea bali ndivyo yalivyokuwa yamepangwa.
la pili ni kutumika kwa nguvu ya ziada ya kulinda kura toka kwenye vituo hadi kwenye majumuisho yake. Kuwe na independent committe pia ya chadema ya kujumlisha matokeo yatakayokuwa pia yakitumwa kwa njia ya simu na mawakala wao, na sio kusubiria ya nec ambayo yanaweza kuwa yamekwisha kuchakachuliwa na computer.
mawakala hapa watatakiwa wale kiapo cha kutoasi, na waonyeshe ujasiri wa kuhakikisha kuwa kila kituo wanakagua hadi daarini kama lipo dari, maana wanaweza kuweka vitu huko kwenye madari pia.
kuangusha utawala wa kimabavu, kunahitajika juhudi za ziada.