Napata habari hapa sasa hivi kutoka CCM Mbeya ni kwamba JK atakuwa huko tena kwa kampeni Siku ya Ijumaa. Du! yaani kweli jamaa sasa anaweweseka, yaani kusikia Slaa atakuwa huko tayari homa imepanda!
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni(farao)
siku za mwisho wa kampeni zinavyozidi kwisha ndivyo na wagombea ubunge wasiokubalika kama Dk. Batilda Buriani wanavyozidi kuchanganyikiwa...
Mgombea ubunge jimbo la singida magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM),bwana Lazaru Nyarandu amepanga kutumia helikopta katika kampeni zake,katika siku mbili za mwisho.Nyarandu amesema...
...... Kikwete aliingia madarakani kwa kuwachafua wapinzani wake akina Salim na wengineo. Alipofika madarakani akahodhi CCM kuwa mali ya familia yake na kuendesha nchi kwa mtindo usioona mbele...
Mkutano wa JK wafunga shule tano
Tuesday, 26 October 2010 21:08
Kizitto Noya, Mwanza
SHULE nne za msingi na sekondari zilizo kwenye Kata ya Nkome wilayani Geita, jana ziliahirisha masomo...
KWa wagombea wote wa nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Urais, kwa wanachama wote wa vyama vinavyogombea uchaguzi mkuu 2010, kwa wapiga kura wote waliojiandikisha na watakuwa vituoni wakipiga kura...
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa...
Baada ya kumpata rais mpya Dr. Slaa pamoja na wabunge wapya, ningependa wayafute maneno/lugha hizi:
- mheshimiwa
- serikali iko mbioni
- pamoja na majibu mazuri ya mheshimiwa waziri,,,,,,
- tuko...
Kaazi kweli kweli. CCM wamekaa kimya?
Sasa sijui vyama vingine huko Kawe waandike barua NEC kuwa CCM ni chama cha Vurugu na Kuuwa watu? Utashangaa NEC wamebugia maji mdomoni. CCM na POLISI yao...
Ndugu wana-JF mlioko Mwanza, nimepigiwa simu dakika tano zilizopta 06:30 hivi na jamaa yangu aliyeko mitaa ya Nyegezi jijini Mwanza kwamba msafara wa Kikwete umepita eneo hilo ili nisikilize live...
Ni Polisi, Mgambo, JKT, Magereza
Tossi asema Polisi peke yao hawatoshi
Mwema ataka matokeo yaheshimiwe
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema
p { margin-bottom: 0.08in; }...
Waheshimiwa wana wa nchi , tukiwa tumebakiwa na siku tatu kabla ya uchaguzi mkuu, naomba nitoe mshangao wangu mkuu ambao najua wengi utawashangaza pia.
wote wenye matumaini ya kuwa Slaa atakuwa...
Mshahara wenu kwa mwezi ni shilingi ngapi?, je zinatosha kwa mwezi? Nyumba mnazolala ni bora? Kodi mnayokatwa je ni halali? Madeni yenu mnayodai je mmelipwa?
Sasa nakukumbusheni kuwa wakati...
Ni matumaini yangu mu wazima nyote. Kwa mawazo yangu ninaona ni vyema taasisi na asasi zote binafsi kufungua ama kuanzisha mtandao ambao utakua ukikusanya matokeo ya kila jimbo.
Mfano...
Mbali na wanafunzi wa elimu ya juu kuondolewa kimkakati kupiga kura, kuna kundi lingine nalo limeongezwa kwenye idadi ya watakaoshindwa kupiga kura Jumapili tukufu ya Mabadiliko.
kwa Taarifa...
Leo mnamo saa 4:38 usiku, Jumanne Magembe ametangazia umma kupitia ITV kwamba CCM utatoa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Ilipitishwa lini na Bunge?
Baada ya mgombea Ubunge jimbo la Maswa Magharibi Mhe. Shibuda kuachiwa na polisi kuwa hahusiki na mauaji,Kamati ya maadili ya Uchaguzi ya Wilaya hiyo imemjia juu Shibuda kwa kutaka aenguliwe na...
Kutokana na upepo mkali unavyobadilika kwa kukubalika kwa Dr Slaa katika siku hizi za mwisho, jee kilichobakia kwa JK sasa ni kutegemea hisani ya NEC? Vinginevyo halionekani tundu la kupitia.