Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,303
- 2,079
Mshahara wenu kwa mwezi ni shilingi ngapi?, je zinatosha kwa mwezi? Nyumba mnazolala ni bora? Kodi mnayokatwa je ni halali? Madeni yenu mnayodai je mmelipwa?
Sasa nakukumbusheni kuwa wakati akihutubia wale wazee alisema.....kuweni kama mbayuwayu kwa kuchanganya na za kwenu....mimi nasema kwaherini tutaonana tena 2015
Sasa nakukumbusheni kuwa wakati akihutubia wale wazee alisema.....kuweni kama mbayuwayu kwa kuchanganya na za kwenu....mimi nasema kwaherini tutaonana tena 2015