KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi...
Mwanzoni mwa mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM mwaka 2005, wengi walitarajia Dr Salim Ahmed Salim angelichaguliwa kwa kura nyingi kutokana na ukweli kwamba yeye ndiye alikuwa anaonekana...
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya...
Leo ulikuwa unazungumzia na kuwahakikishia wadau kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki. Je mchakato wa kufikia hapo umeufanya?
Kuna mapungufdu mkubwa katika mchakato mzima wa kupiga kura .
Vigezo...
Nchi inaliwa mpaka mifupa na manyoya sisi tupo kama mazuzu tu
Watanganyika tumegeuka wafu na misukule ya watawala hivi tutaamka lini?
Maskini nchi yangu
Usione watu tunaichachavya serikali kila...
Deni la Taifa kwa sasa limepanda kutoka Trilioni 108 mwezi Mei hadi trilioni 116 Mwezi Agost. Hili ni ongezeko la 7.41% ndani ya kipindi cha miezi miwili tu. Deni hili linaweza kunasibishwa na...
Kauli yangu ya jana imewashtua wengi, nimepigiwa simu na kujibu meseji nyingi sana, kilichonishtua ni pale nilipowakuta wazee wa3 na vijana wa2 nyumbani kwangu wakinisubiri kutaka kujua ukweli...
ni mdau wa karibu sana wa JKM,pia alipewa fungu ktk pesa za epa na akashiriki ktk kutumia pesa zile kufungua kiwanda,akiwa na wenzake MWITA,SHEWEJI na yeye mwenyewe KIGWANGALA kiwanda kikaitwa MSK...
Mmiliki wa gazeti la Rai; Rostam Aziz, ambaye ndiye wengi tunaamini ni mwakilishi wa JK kwenye kashfa ya DOWANS ambayo isipovaliwa njuga italigharimu taifa zaidi ya bilioni 100 ametumia nafasi...
Mwanakijiji,
1. Kuhusu Richmond na Dowans, Bunge lenu lilichunguza likasema hakuna sehemu walipoona kwamba Mh. Rostam Aziz anahusika... sasa nini kifanyike tena...
Hicho ndicho nilichosema...
Tundu Lissu alikuwa ana usemi wake kuwa Rais wa Tanzania ni zaidi ya Mfalme, Rais wa Tanzania ni Kama Mungu.
Akimaanisha nguvu aliyopewa Rais wa Tanzania na katiba hii ya Nyerere ni kubwa sana...
Ramadhani Kailima Polee sana
Imeandikwa hadi kwenye vitabu vitakatifu kuwa kweli itatuweka huru.
Utetezi uliotoa Kailima hauwezi kubadilisha chochote, zaidi unazidi kuongeza hasira zetu Wananchi...
Wakuu JF.
Nimesoma kwenye mtandao kuwa Tariki Azizi wa TZ leo angetoa tamko la Serikali Kuhusu Mengi.
Tafadhali mlioko nyumbani tupasheni habari kama kalitoa na amesema nini.
=====
Rostam Na...
Rostam Aziz anasemekana kuwa na kampuni hidden 80, kweli una nia njema na Serikali ya Dr. Samia una kampuni zaidi ya 80 za siri why?
Lazima Rostam Aziz aangaliwe watanzania tusije kulia mbeleni...
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.
KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.
Katika...
Jamaa aliaga akisema msipofungua kanisa la ufufuo na uzima baada ya siku kumi nitarudi tena, sasa hivi nikirudi jambo nitakaloliongea litachafua hali ya hewa.
Na mpaka sasa hivi hakuna tamko...
Watanzania tuache kutapeliwa kirahisi rahisi. Yaani mtu anadanganya eti NIDA sijui inasaidia kuiba kura. Uongo mkubwa. Kura zinapigwa manually(kwenye kituo) zinahesabiwa hapohapo, na matokeo...
Buriani Jobu Ndugai
Deni T 116..?
Maono yako juu ya nchi yetu, ni kweli na sasa karibu tunaanza kuyaishi
Deni la Taifa linatishia uhai wa nchi yetu,
Wakati tukielekea Uchaguzi magumashi, kila...
Sisi waswahili husema, baniani mbaya, kiatu chake dawa. Hata kama hukubaliani na uanachama wa Polepole CCM, haya anayoyasema kukuhusu yana athari za moja kwa moja kwa CCM. Watanzania tunahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.