Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mkuu, hizi kumbukumbu zitakuwa nyingi sana.
Sikumaanisha tusiende kazini bali hata kumtolea makala maalumu ingetosha
Nani aote, familia ama serikali??
Kwani Sokoine anafanyiwa kumbukumbu?
sura halisi ya wazalendo.Hii ndio nyumba ya Hayati Horace Kolimba aliyoiacha Kijijini kwake huko Manda kwa taarifa ambazo nilizipata kwa sasa inakaliwa na Wanafunzi ambao wanasoma Shule ya Sekondari Manda
Ingependeza kama mtu mmoja anayeijua vizuri historia ya Kolimba ataiweka humu kwa mapana na marefu kwa sababu wengi wetu hatufahamu kwe undani historia ya mtu huyu.
Hii ndio nyumba ya Hayati Horace Kolimba aliyoiacha Kijijini kwake huko Manda kwa taarifa ambazo nilizipata kwa sasa inakaliwa na Wanafunzi ambao wanasoma Shule ya Sekondari Manda
sura halisi ya wazalendo.
weka na picha ya mwenyekiti wa CCM kata ya Ubungo ulinganishe na hii ya aliywahi kuwa katibu mkuu.