Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Sheria inasemaje inapotokea mwanaume ameishi na mwanamke kwa kipindi cha mwaka na wakazaa mtoto? Uhusiano wao hapo awali ulikuwa ni wa kirafiki zaidi kwani watu hawa hawakufunga ndoa ya aina...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
A Christian street preacher was arrested and locked in a cell for telling a passer-by that homosexuality is a sin in the eyes of God By Heidi Blake Published: 1:05PM BST 02 May 2010 Dale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila. Kesi ya kutoa lugha ya uchochezi na kudai kuwa Rais Jakaya Kikwete ni gaidi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imekubali ombi la upande wa mashitaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
28th April 2010 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Pwani, Absolom Mwakyoma. Vuta nikuvute iliibuka jana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Editorial Cartoon Ipo tabia moja isiyopendeza ambayo inaonekana kujirudia katika jamii yetu. Ni matukio matatu sasa ambayo yameripotiwa ambapo walimu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salama wana JF!Niliuziwa kiwanja mbele ya adv. Kwa kupitia bank, kumbe hakina njia (sala2,DSM)nikatoa adv.20m,muuzaji amenizungusha,sasa sikitaki nataka mwanasheria atakaye recover hy pesa nimpe 2m.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa kuhusu uingizaji wa malori nchini kutegemea miaka ya gari. Je ile sheria ya kuingiza magari yasiyozidi miaka 10 nchini nayo inahusu malori ya kubebea mizigo? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi ni nini maana ya mwanasheria?.Je kuna kiwango cha elimu mtu anatakiwa afikie katika hiyo sheria ili aitwe mwanasheria?,Je watu wote wanaofanya kazi katika field hiyo ya sheria hata kama wana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau hivi ni nini madhara ya hii shera hasa ukiuunganisha na haki za binadamu? :rolleyes:
1 Reactions
6 Replies
8K Views
A Murder Mystery : A must read For those who have served on jury... this one is something to think about... Just when you think you have heard everything!! Do you like to read a good...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
K agoma kusaini sheria mpya *NI YA KAMPUNI ZA SIMU KUJISAJILI SOKO LA HISA DAR Ramadhan Semtawa BAADA ya kusaini Sheria ya gharama za uchaguzi ambayo imegubikwa na utata, Rais Jakaya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KATIKA hali ya kuonekana kuna msongamdano wa wafungwa gerezani hali iliyopelekea kuwea keo serikali imeamua wafungwa hao kutumikia kifungo cha nje ili kuepuka msongamano huo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tujadiliane kwa kueleweshana kisheria katika haya ambayo yamekuwa kero kwa baadhi yetu tukiwa barabarani: NINI Mamalaka ya askari na haki ya raia?? Polisi akiwa barabarani anatokea ghafla...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Majaji waitoa jasho serikali kortini Dar • RUFAA YA MGOMBEA BINAFSI na Happiness Katabazi NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, amedai kuwa hakuna mahakama yoyote nchini...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
JE WAWEZA KUMPIGA PICHA YA VIDEO POLISI APOKUCHUNGUZA AKAMUACHA SALAMA?? Hivi ndivyo inavyokuwa ngumu kwa Polisi kupeleleza baadhi ya kesi si tu kutokana na kukosa vitendea kazi, bali pia hofu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, leo asubuhi nilikuwa nikisikiliza BBC swahili ambapo walikumbushia sheria ya mwaka 1998 ya ubakaji ambapo mwanaume ndiye anahukumiwa... Sasa kutokana na mwanamke mmoja kufungwa kifungo cha...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Jamaa alikosa kuuawa na wananchi kwa tuhuma ya wizi kule Magu.Wiki ilopita akaripotiwa na police jamii kwa sms police Morogoro bada ya kuonekana akiishi Kilosa na sasa yuko mahabusu Kilosa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The House of Representatives yesterday approved the bill seeking to bar Zanzibar courts from seizing and auctioning Isles government property when it fails to comply with court orders to pay...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukitaka meza wembe, Chenge haguswi Na Mbasha Asenga “SAFARI hii tumekuwa makini sana katika kufikia mkataba na Rites kuendesha TRL,” hii ilikuwa ni sehemu tu ya kauli ya aliyekuwa Waziri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom