Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Habari wakuu mimi nipo nje ya nchi naomba Katiba ya kwetu Tanzania inayozungumzia mahakama ya Kadhi na uhalali wake na pia kama mtu anakatiba za Tanzania ambazo iliyofanyiwa marekebisho na hatakama haijafanyiwa marekebisho zote anaweza kunitumia. Pia na Ule waraka wa kwetu ambao ulikwenda kwa Serikali pia naomba anitumie haraka
Asanteni
Asanteni