Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Wakuu naomba msaada wenu wa kisheria uykoje kwenye hili la MAFUA YA NGURUWE ambayo yamevamia kazini kwetu Buzwagi Gold mine.
Uongozi ulitangaza kuzuia baadhi ya wafanyakazi (non essential...
Mahakimu wazidi kuikimbia kesi ya Mtikila
Tausi Ally
HAKIMU mwingine wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Salome Mwandu amejitoa kusikiliza kesi ya Mchungaji Christopher Mtikila ya kumwita Rais...
Wana JF naomba msaada; Nimshaurije Dada Esta
John na Joseph ni ndugu wa kuzaliwa tumbo mmoja mkubwawao akiwa John; Kwa kuwa john amefanikiwa kimaisha anamchukua Joseph hadi Dar es salaam...
KADA wa CCM, Haji Manara jana alipandishwa kizimbani na kusomewa mashitaka mengine 11 ambayo yanafanya jumla ya mashtaka yanayomkabili kufikia 17.
Katika mashitaka hayo hayo mapya, Manara...
Tracking changes in negotiating commercial documents: Solicitor and client responsibility
In Thiess Pty Limited v FLSmidth Minerals Pty Limited [2010] QSC 6, the Supreme Court of Queensland...
Kuna mshikaji mmoja anafanya kazi kwenye benki moja nchini. Wakati huo tulikuwa tunafanya kazi pamoja. Mwaka 2006 kuna mteja alipeleka madai kwenye tawi analofanyia huyo jamaa kwamba alimwachia...
Harrassment at the work place
There is lady who was working with one company, whe she had of green pasture somewhere else she applied for the job and she was called for an interview and finally...
TUMEKUWA tukifuatilia mjadala ulioibuka bungeni na kwingineko, kuhusu muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi ambao tunaambiwa karibuni utafanywa kuwa sheria.
Tuseme mwanzoni kabisa kwamba sisi...
Criminal law: use of hearsay evidence; professional conduct
The Supreme Court in R v Horncastle [2009] UKSC14 has upheld the decision of the Court of Appeal that, in appropriate circumstances...
Naombeni ushauri wenu wana sheria. If I want kufungua a new company with a foreigner , kawaida step ya kwanza ni Kuregister Jina la Kampuni . Kwenye form ya kuapply for jina la kampuni , you need...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza utetezi wa kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 za Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)...
By Bonney Odongo
and Patrick Okino
in Lira
A CATHOLIC evangelist who told a BBC reporter that he committed 70 ritual murders has been charged with giving false information to a public officer...
Ndugu zangu wanaJF ninataka mnifahamishe. Hivi iwapo mgombea binafsi ataruhusiwa kugombea uenyekiti wa serikali ya mtaa, udiwani, ubunge na urais iteleta hasara au faida zipi? Je ni kweli kama...
Learned Brothers and Sisters, i have an issue in which your opinions will be of a great help, the issue is if an employee claims his/her terminal benefit does it imply that he/she has agreed with...
PRESIDENT Yoweri Museveni has called upon the public to support the bill denying bail to offenders of child sacrifice, rape and corruption.
I would not want these murderers, rapists, defilers...
Hello wana JF,
Naomba yeyote aliyebahatika kupata sheria ya watoto iliyopitshwa mwaka jana anisaidie tafadhali.Nimejaribu kutafuta kwenye web ya Bunge haipatikani.
Kampala
The state on Thursday moved to protect the principal that a man can have more than one wife.
The Attorney Generals office has responded to a petition seeking to nullify the practice of...
Jamani naombeni kupata maelezo kama Police Force Ordinance (Ammendment) Act 1964 inakataza mtu binafsi kumiliki pingu. Maana katika sheria za wenzetu kuna vifungu kabisa vinavyokataza mtu binafsi...
Jamani ninajaribu kujifunza sheria ya ushahidi nikakutana na swali lifuatalo
(a) A agreed in writing to sell a house to B for shillings 10,000/= or shs 15,000/=. Can evedence be given which price...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.