Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Ndugu qna JF, mara nyingi nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu utendaji kazi wa 'traffic police' wetu. Na kwa vile watu wengi hawajui sheria au kama wanajua hawajui namna ya kudai haki yao...
A man was charged before the Judge by stealing valuable property by inserting his hand through the window and disappearing with it, hence depriving the rightful ownership of the owner.
In...
Monday, May 24, 2010
A three-judge bench on Monday declared the inclusion of Kenya's age old Kadhi courts in current Constitution illegal and discriminatory. The judges, sitting as a...
Jamani wana JF,
Kwa leo sitapenda kutoa taarifa kamili kwa jili ya interest fulani lakini naombeni sana kama kuna mtu anaweza nisaidia katika hili.
Huku mkoanii kwetu tulipozaliwa, Baba na...
mwanamke tulifunga ndoa nae kiserikali anadai talaka kila kukicha ,anatoroka hatimaye ,baada ya mwaka unagundua anaishi na mwanaume mwimngine maeneo fulani na wanataka funga ndoa nyuma...
Wapendwa WanaJF,
Tanzania Bara ina Mawakili wa kujitegemea 1,188 tu kwa takwimu za hadi Desemba 15, 2009 (Bonyeza hapa kwa taarifa zaidi). Kwa kuwa Mawakili wengi sana wanapenda kuishi Dar es...
WanaajamiiForums, kuna sheria hii mpya ambayo imekuaa signed na Mh. JK Nov, 2009 ina mambo mengi
mazuri kwa maslai ya mtoto wa kitanzania, hasa kumlinda kwa mambo hatarishi kama yalivyo oanishwa...
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Ripoti ya timu iliyoundwa na Jeshi la Polisi nchini kuchunguza mauaji ya raia Octavian...
tafadhali naomba mwenye software ya CPA R.E 2002.maana nimeshafuatilia pale kwenye duka naambiwa hamna sijui mpaka uweke order kabisa,nimeshaweka order na namba ya simu, nimefuatilia mpaka...
Wanajamii
Naomba wajuzi wa sheria wanijuze juu sheria ya kazi ya Tanzania inavyosema juu ya mfanyakazi anaeumia kazini au kuugua muda mrefe pasi kufanya kazi! Compensation zake zikoje na ni...
wanajamii naombeni msaada, kuhusu Tax Law hasa kwenye ishu ya property, je ni kweli kwamba mstaafu
kwa hapa tanzania yupo exempted kulipa kodi kwa mapato yatokanayo na rent ya nyumba yake...
Juma tatu na interview y alegal clerk......hivi wanaweza wakauliza maswali gani......halafu kampuni ina sheria nyingi yaniinafanya kazi kwenye vipengele kama 10 vya sheria inamaana watauliza...
Habari wakuu mimi nipo nje ya nchi naomba Katiba ya kwetu Tanzania inayozungumzia mahakama ya Kadhi na uhalali wake na pia kama mtu anakatiba za Tanzania ambazo iliyofanyiwa marekebisho na...
JAJI wa Mahakama Kuu, Fredrica Mugaya amemtahadharisha Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Dk Maua Daftari kuwa hata kama akifanya mbinu ya ucheleweshaji, hukumu ya kesi dhidi...
Wakuu nina tatizo moja kuhusu sheria za kazi hususani hapa kwetu Tz.
Sijui kwingine zikoje lakini nafahamu kuwa wengine hufanya kazi kwa mikataba ambapo ukiisha kila upande una hiari ya...
Viongozi
Nimekutana na kizungumkuti weekend hii nilipoenda kwa serikali ya mtaa kuomba wanijazie form flani na si mgeni kwenye mtaa ule na viongozi wananifahamu. Lakushangaza nilielezwa nipite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.