Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

[B] Nchi yetu Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi sana hivi karibuni kama vile EPA, Richmond pamoja na mikataba mingi ya ujanjaujanja (Songwe-Kiwira coal mines nk) na pia tumeshuhudia hatua za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, Binafsi kuna hili suala linanitatiza sana, Utawala wa kisheria wa kimataifa (International Law of Governance), nini lange lake kuu? je, inalenga kuwadhalilisha vingozi wa afrika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Sheria ya uchaguzi ni lazima ifanyiwe marekebisho-Tendwa Martha Mtangoo, Dodoma Daily News; Wednesday,September 17, 2008 @00:03 Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa amesema...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbona hawa wakenya sasa hivi wapo kila mahali,sasa hivi hata mfagiaji ni mkenya. Imekwenda wapi sheria ya ajira kwa wazawa,na sisi mbona tukienda kwao hatupati nafasi hii. Kibaya zaidi akiingia...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wana JF ninapenda kujua kuwa sheria ya NGO ya mwaka 2002 inafanya kazi na je kama inafanya kazi ni vipi kumekuwa na NGO nyingi ambazo ni briefcase, yaani watu wanaandika plan zao wanapeleka kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni imani yangu kuwa wengi kati ya wanaotembelea hapa wana ujuzi mkubwa wa mambo ya kisiasa na kiuchumi Tanzania. Kwa hiyo sina kazi kubwa ya kuelezea hali halisi ya namna ambavyo nchi ya Tanzania...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Natanguliza salamu. Nina jamaa yangu ambaye kwa bahati mbaya ana matatizo ya akili (Alzheimer) ambayo yanamfanya asiweze kumudu shughuli zake za kila siku. Amekwenda kwa daktari na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I am very excited with the situation in the country (U.S.).You just take tour to this link below and jot something thereafter. Http://securingamerica.com/ccn/node/15631
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesoma baadhi ya magazeti ya wiki hii wakisema Inter consult ina tafuta mkurugenzi wa Kampuni inayoongoza uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA KADCO Chan kunishangaza zaidi maombi ya pelekwe kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Warioba na sheria zinazobagua watu Mwandishi Wetu Agosti 27, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema matukio ya kifisadi ya hivi karibuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chinese corruption law targets lovers and families of officials Children, spouses and lovers could be jailed for more than seven years as scams reach new levels of sophistication Chinese...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
24.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya sheria za nchi zinazohusika, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali, na haki ya hifadhi kwa mali yake aliyonayo kwa mujibu wa sheria. (2) Bila ya kuathiri...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
NImeona hii picha ninayoambatanisha hapa chini, nikajiuliza, ni mamlaka gani na sheria zipi ambazo zinawapa mgambo nguvu kama polisi? Mgambo wa Manispaa ya Ilala, wakimpeleka Kituo Kidogo cha...
0 Reactions
6 Replies
19K Views
Baada ya kusoma hukumu ya majaji wa mahakama ya rufaa katika kesi ya S.M.Z. vs. Machano Khamis Ali & Others (Criminal Application No. 8 of 2000) [2000] TZCA 1 (21 November 2000) IN THE COURT OF...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Date::7/12/2008 Wabunge chanzo cha sheria mbovu za madini Na Daniel Mwaijega Mwananchi MOJA ya hoja zilizopewa uzito katika mijadala ya bunge wiki hii, ni ile ya nishati na madini, ambako...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANZANIA: Agreement signed with US to combat financial crimes DAR ES SALAAM, 27 August 2002 (IRIN) - The US government and Tanzania have signed an agreement on technical assistance for capacity...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Ikiwezekana zikombwe ziwekwe sehemu hapa hapa kesho zisije kupotea bure. Constitutional Law Constitution of the United Republic of Tanzania Constitution of the United Republic of Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa mtazamo wangu, sheria za Tanzania zinatekelezwa kwa kufuata 'social status' ya mtu na siyo kosa lililotendeka. Mfano, mwananchi wa kawaida akituhumiwa kuwa ametenda kosa fulani la jinai...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu sheria za Tanzania zinatekelezwa kwa kufuata 'social status' ya mtu. Mfano, mwananchi wa kawaida akituhumiwa kuwa ametenda kosa fulani la jinai atawekwa chini ya ulinzi na polisi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom