Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
[B]
Nchi yetu Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi sana hivi karibuni kama vile EPA, Richmond pamoja na mikataba mingi ya ujanjaujanja (Songwe-Kiwira coal mines nk) na pia tumeshuhudia hatua za...
Wana JF,
Binafsi kuna hili suala linanitatiza sana,
Utawala wa kisheria wa kimataifa (International Law of Governance), nini lange lake kuu?
je,
inalenga kuwadhalilisha vingozi wa afrika...
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa...
Sheria ya uchaguzi ni lazima ifanyiwe marekebisho-Tendwa
Martha Mtangoo, Dodoma
Daily News; Wednesday,September 17, 2008 @00:03
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa amesema...
Mbona hawa wakenya sasa hivi wapo kila mahali,sasa hivi hata mfagiaji ni mkenya. Imekwenda wapi sheria ya ajira kwa wazawa,na sisi mbona tukienda kwao hatupati nafasi hii. Kibaya zaidi akiingia...
Wana JF ninapenda kujua kuwa sheria ya NGO ya mwaka 2002 inafanya kazi na je kama inafanya kazi ni vipi kumekuwa na NGO nyingi ambazo ni briefcase, yaani watu wanaandika plan zao wanapeleka kwa...
Ni imani yangu kuwa wengi kati ya wanaotembelea hapa wana ujuzi mkubwa wa mambo ya kisiasa na kiuchumi Tanzania. Kwa hiyo sina kazi kubwa ya kuelezea hali halisi ya namna ambavyo nchi ya Tanzania...
Natanguliza salamu.
Nina jamaa yangu ambaye kwa bahati mbaya ana matatizo ya akili (Alzheimer) ambayo yanamfanya asiweze kumudu shughuli zake za kila siku. Amekwenda kwa daktari na...
I am very excited with the situation in the country (U.S.).You just take tour to this link below and jot something thereafter.
Http://securingamerica.com/ccn/node/15631
Nimesoma baadhi ya magazeti ya wiki hii wakisema Inter consult ina tafuta mkurugenzi wa Kampuni inayoongoza uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA KADCO
Chan kunishangaza zaidi maombi ya pelekwe kwa...
Warioba na sheria zinazobagua watu
Mwandishi Wetu Agosti 27, 2008
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema matukio ya kifisadi ya hivi karibuni...
Chinese corruption law targets lovers and families of officials
Children, spouses and lovers could be jailed for more than seven years as scams reach new levels of sophistication
Chinese...
24.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya sheria za nchi
zinazohusika, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali, na haki ya
hifadhi kwa mali yake aliyonayo kwa mujibu wa sheria.
(2) Bila ya kuathiri...
NImeona hii picha ninayoambatanisha hapa chini, nikajiuliza, ni mamlaka gani na sheria zipi ambazo zinawapa mgambo nguvu kama polisi?
Mgambo wa Manispaa ya Ilala, wakimpeleka Kituo Kidogo cha...
Baada ya kusoma hukumu ya majaji wa mahakama ya rufaa katika kesi ya S.M.Z. vs. Machano Khamis Ali & Others (Criminal Application No. 8 of 2000) [2000] TZCA 1 (21 November 2000)
IN THE COURT OF...
Date::7/12/2008
Wabunge chanzo cha sheria mbovu za madini
Na Daniel Mwaijega
Mwananchi
MOJA ya hoja zilizopewa uzito katika mijadala ya bunge wiki hii, ni ile ya nishati na madini, ambako...
TANZANIA: Agreement signed with US to combat financial crimes
DAR ES SALAAM, 27 August 2002 (IRIN) - The US government and Tanzania have signed an agreement on technical assistance for capacity...
Ikiwezekana zikombwe ziwekwe sehemu hapa hapa kesho zisije kupotea bure.
Constitutional Law
Constitution of the United Republic of Tanzania
Constitution of the United Republic of Tanzania...
Kwa mtazamo wangu, sheria za Tanzania zinatekelezwa kwa kufuata 'social status' ya mtu na siyo kosa lililotendeka. Mfano, mwananchi wa kawaida akituhumiwa kuwa ametenda kosa fulani la jinai...
Kwa mtazamo wangu sheria za Tanzania zinatekelezwa kwa kufuata 'social status' ya mtu. Mfano, mwananchi wa kawaida akituhumiwa kuwa ametenda kosa fulani la jinai atawekwa chini ya ulinzi na polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.