Waheshimiwa wa Jukwa la Lugha:
Natumaini hamjambo nyote. Mimi ni mfasiri wa Kiswahili kwenda Kiingereza. Leo nimekwama... ninahitaji kufasiri maneno hayo mawili: waya na seng'enge - katika...
Ndugu Wanajamvi,
Naomba nieleweshwe maana ya neno Kitoko kwa lugha ya kikongo. Kuna mtangaji wa redio Uhuru fm pia anajiita Mwasikitoko.
Kwa kilugha chetu huku Umakondeni ni tusi kubwa sana...
Kuna watu kwenye mitandao wanaharibu sana lugha ya kiswahili. Hasahasa kwenye maneno yanayo husu "H" unakuta kwenye kuweka H mtu anaiondoa au anaweka H pasipo takiwa.
Ninaomba tukifunze matumizi...
Naomba maoni yenu juu ya hoja hii :- Kati ya kiswahili na kiingereza, ipi ni lugha nzuri inayofaa kutumika kufundishia na kujifunzia Katika shule za sekondari na vyuo vikuu hapa Tanzania?
Kuna issue fulani naifuatilia huko Bongo, halafu mojawapo wa vigezo ni kwamba, lazima mhusika awe anaongea Kingereza kwa ufasaha. Haya hapa maneno ya tangazo lenyewe "Strong communication skills...
Shuleni milijifinza kuwa Kiswahili ni kibantu.Kimekopa(Kutohoa) maneno kutoka Kiarabu Na lugha nyinginezo mf. Kiingereza (Shati,Sketi, nk) Kichina(Chai)
Kijerumani (Shule, hela nk)
Je kwa nini...
Sijui bado ni kwanini baadhi watanzania wenzangu mpaka sasa wameshindwa kutofautisha kati ya r na l. Hiyo huwa inanikera sana.
Nikiri hata girlfriend wangu ana huo uzembe. "Jamani laha sana"...
NGURUWE NA PUNDA.
1)Ana sura ya huruma,na akili za kichwani.
Ye mjanja kama kima,ila muwizi jangwani.
Nembo yake kama puma,mruka porini shimoni.
Nguruwe mteke punda,umbebeshe mizigo.
2)hawezi...
Kiswahili fasaha ni kipi katika ya methali na mithali? Au ni vitu viwili tofauti? Kwakuwa? kwenye Bible ni Mithali lakini kwenye vitabu vyetu vya elimu dunia ni methali
Wapo wapi waandishi mashughuli? Nauza hati miliki ya vitabu vyangu, mwenyewe uhitaji tuwasiliane 0652262797
Muandishi mwenye shida na mlumbi wa lugha anae hakiki kazi za fasihi kwa bei nafuu nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.