Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Waheshimiwa wa Jukwa la Lugha: Natumaini hamjambo nyote. Mimi ni mfasiri wa Kiswahili kwenda Kiingereza. Leo nimekwama... ninahitaji kufasiri maneno hayo mawili: waya na seng'enge - katika...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ndugu Wanajamvi, Naomba nieleweshwe maana ya neno Kitoko kwa lugha ya kikongo. Kuna mtangaji wa redio Uhuru fm pia anajiita Mwasikitoko. Kwa kilugha chetu huku Umakondeni ni tusi kubwa sana...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Kuna watu kwenye mitandao wanaharibu sana lugha ya kiswahili. Hasahasa kwenye maneno yanayo husu "H" unakuta kwenye kuweka H mtu anaiondoa au anaweka H pasipo takiwa. Ninaomba tukifunze matumizi...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
"kuwa na mke mzuri na mrembo ni Sawa na kuwa na shamba la miwa karibu na shule ya msingi.'' Jadili.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kumekucha ni salama, ahsante mungu wangu, Japo dede nasimama, na tete hatua zangu, Nina kuomba Karima, nifike safari yangu Nimezama fikirani, nawaza mie nawaza. Jana sikupe hasira, leo sipate...
1 Reactions
0 Replies
739 Views
Bwana Mbwiga, huu msemo wako unamaanisha nini?
0 Reactions
3 Replies
7K Views
SHAIRI LA SUKARI. 1)Kizaza mtaani,sukari nayo hakuna. Ukwe u viwandani,watu wamenuna nuna. Wakumlaumu nani,ama yule alonena. Tutumie ya nchini,huku viwanda hakuna. Sukari ni janga jipya,nina nena...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba maoni yenu juu ya hoja hii :- Kati ya kiswahili na kiingereza, ipi ni lugha nzuri inayofaa kutumika kufundishia na kujifunzia Katika shule za sekondari na vyuo vikuu hapa Tanzania?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna issue fulani naifuatilia huko Bongo, halafu mojawapo wa vigezo ni kwamba, lazima mhusika awe anaongea Kingereza kwa ufasaha. Haya hapa maneno ya tangazo lenyewe "Strong communication skills...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Shuleni milijifinza kuwa Kiswahili ni kibantu.Kimekopa(Kutohoa) maneno kutoka Kiarabu Na lugha nyinginezo mf. Kiingereza (Shati,Sketi, nk) Kichina(Chai) Kijerumani (Shule, hela nk) Je kwa nini...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Sijui bado ni kwanini baadhi watanzania wenzangu mpaka sasa wameshindwa kutofautisha kati ya r na l. Hiyo huwa inanikera sana. Nikiri hata girlfriend wangu ana huo uzembe. "Jamani laha sana"...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
NGURUWE NA PUNDA. 1)Ana sura ya huruma,na akili za kichwani. Ye mjanja kama kima,ila muwizi jangwani. Nembo yake kama puma,mruka porini shimoni. Nguruwe mteke punda,umbebeshe mizigo. 2)hawezi...
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Kiswahili fasaha ni kipi katika ya methali na mithali? Au ni vitu viwili tofauti? Kwakuwa? kwenye Bible ni Mithali lakini kwenye vitabu vyetu vya elimu dunia ni methali
0 Reactions
3 Replies
4K Views
SHARUBATI YA KIJENGE. 1)Ulinywa bila kujua,ama kale kamzimu. Kamenza...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
The Kiswahili lesson you missed. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada. 8. Certificate...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Salamu wana JF. Kama kuna my mwenye soft copy ya kamusi tajwa hapo juu anigawie tafadhal. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
3K Views
a pesoa que sabe falar bem portugues aqui?
0 Reactions
2 Replies
649 Views
KONDOO MWENYE PEMBE. 1)mbwa kapanda mtini,chura kazama majini. Swala yumo mlimani,tembo nyuma mbuyuni. Paa karuka angani,mbega kashuka mtini. Na kondoo mwenye pembe,ameshusha kichwa chini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapo wapi waandishi mashughuli? Nauza hati miliki ya vitabu vyangu, mwenyewe uhitaji tuwasiliane 0652262797 Muandishi mwenye shida na mlumbi wa lugha anae hakiki kazi za fasihi kwa bei nafuu nae...
1 Reactions
0 Replies
7K Views
Soyez le bienvenue
0 Reactions
62 Replies
8K Views
Back
Top Bottom