Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ufanye uende mbio, kaskazi mashariki, Ubebe na kuku kwio, kwa ndumba unihiliki, Yote yawa kifagio, kwa uwezo wa Maliki, Jalali sio babio, elewa sihadhiriki. Kiso chako hukishiki, hata kwa lake...
0 Reactions
0 Replies
639 Views
KAMUSI. Useful English to Swahili - Swahili to English Translator, with audio. Baada ya ku translate Inasoma "translated words" kwa sauti. Kwa Kiswahili na kwa Kiingereza. Download it...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Useful English to Swahili - Swahili to English Translator, with audio. Baada ya ku translate Inasoma "translated words" kwa sauti. Kwa Kiswahili na kwa Kiingereza. Download it from the...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
MBONA HAKUMCHINJA ? 1)salamu zifike kwake,natuma mkamwambie. Lile kweli lile lake,ama yule yeye sie. mbonaye hakumchinja ? 2)alimwacha ende zake,mbalie akibakie. Wala hakupigwa teke,na yeye...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Jamani wadau wapi nitapata kazi ya kutafsiri Kiingereza kwenda Kiswahili na vice-versa, au mahali ambapo ujuzi wa kifaransa unahitajika?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kusaidiwa neno mashoto lina asili ya kabila gani la kibantu na maana yake ni nini?
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Habari, Mimi ni mkufunzi, napenda sana kusafiri ndani na nje ya Tanzania. Mwaka jana nilibahatika kutembelea vyuo mbalimbali Ulaya, nikaona wenzetu wa nchi jirani wanavyofundisha masomo...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
WABUNGE ONGEENI. 1)Wangu wosi pokeeni,taratibu chukueni Sitaki kuwakwazeni,ila kitu wambieni. Muwe macho mjengoni,kulalala chukieni Na wabunge ongeeni,mkishindwa piganeni. 2)wasije...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Tuungane kwa pamoja kusoma waraka wa huzuni. Kama atarudi tena akiwa kama mzimu, na kuskia habari ya yule aliekua akimpenda sana atauliza kwanza...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
The THE CASUALTIES John Pepper Clark The casualties are not only those who are dead; They are well out of it. The casualties are not only those who are wounded, Thought they await burial by...
0 Reactions
0 Replies
602 Views
RIZIKI NI MAJALIWA. 1 Haku muumba kilema, aka mkosesha mwendo Huyo ni Mola Karima, mfalme wa vishindo, Usijifanye yatima, fungua yako mafundo, Rauka ufanye hima, nyumbani haliji windo. Riziki...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
These are some of Sheng za Nairobi. Hatujapogwa jams kwenye national language, tunaelewa Sheng. 1.kubebwa tumboni miezi tisa =hiyo ni gondo. 2.ukitwa dwanzi =ni sawa na umeitwa fala 3 . kitu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna anayefahamu maana ya msemo 'waja leo waondoka leo'? Kama sijakosea watu kuutumia kuzungumzia mji wa Tanga. Maana yake ni nini? Ningependa kujuzwa tafadhali.
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Ukipita kila kona unakuta msemo ''Huu mchezo hauhitaji hasira'' Hii slogan imeshika watu kitaa.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanajamvi? Tumekua walipakodi wazuri na pengine kusikia kitu kinaitwa "USHURU WA FORODHA" Je,maana ya hili neno "FORODHA" ni nini? Asante
0 Reactions
2 Replies
16K Views
Wataalam Wa Lugha, Ebu Tupeni Tafsiri Hapa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu tumekuwa tukisikia Kiswahili kibovu kikitumiwa na baadhi ya watangazaji wa ITV na hasa matumizi ya neno "Lakini". Kwa mfano, mmoja wao alisema...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
MSUKUMA HABARI YAKO. 1 Mpemba sabalheri, unaionaje hali, Kwangu mie ni buheri, namshukuru Jalali, Usiwe na munkari, lijibu langu suali, Kwanini wapenda shari, kama vile hauswali? Nang'ata na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukipita kila kona nchi hii utakuta asilimia 90 ya maduka ya vifaa vya ofisini yameandikwa Stationary badala ya Stationery..sijajua tatizo nini, ebu jaribu anza kutafiti nawe utaliona ilo..
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakati msemo huu unaanza kutumika, watu walikuwa wanasema " Tunakula Bata ". Sasa hivi wameongeza na msemo mwingine, wanasema " Tunakula bata mpaka kuku wanaona wivu. Hawa...
3 Reactions
6 Replies
9K Views
Back
Top Bottom