Wasalaam!
Naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea kisayansi) mchaichai, kwa wale ambao wamewahi kunywa chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani.
Si maana nataka jina la majani ya chai yanatumika kutengeneza chai ya rangi, hapana bali jina la MCHAICHAI...majani fulani membamba na marefu hutumika kutengeneza chai pia.
Naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea kisayansi) mchaichai, kwa wale ambao wamewahi kunywa chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani.
Si maana nataka jina la majani ya chai yanatumika kutengeneza chai ya rangi, hapana bali jina la MCHAICHAI...majani fulani membamba na marefu hutumika kutengeneza chai pia.