Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kisa cha kweli mzuka! 1 Kisa cha kweli mzuka, ulipotajwa bungeni Ilikuwa heka heka, ninawajuza juweni Walihamaki mzuka, u wapi hapa bungeni? Ni mtihani mzuka...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kisa cha kofia bungeni 1 Kisa cha sasa kofia, kimetokea bungeni Na hoja aliitoa, akilalama bungeni Kwa kina kaelezea, kadharauliwa juweni Kisa cha kweli kofia, kimetokea bungeni! 2...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
UKIWAHISI WAPIGE. 1)mnamshangaa mwewe,kuku avyo watafuna. Sema udakwe na wewe,cha moto utakiona Usemwe na ushangawe,jama lazidi kutuna Ukiwahisi wapige,hakimu akose kazi. 2)vipanga...
1 Reactions
0 Replies
880 Views
Shule zafunguliwa watoto kuhudhuria Wakubwa kwa wadogo maarifa kujipatia Pekupeku twaenda na kamasi zikitutoka Yeye atukumbatia bila kujali twamchafua Hakuna kama mwalimu jamii yote yajua. La...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Viongozi, napata shida sana kufahamu, usahihi wa uwingi wa maneno haya hapa chini, usahihi wake ni upi? Mbuzi/kuku/ng'ombe/samaki wangu au Mbuzi/kuku/ng'ombe/samaki zangu??? Nasikia wengine...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
msaada wana jamvi....... . Regard September 5
0 Reactions
37 Replies
18K Views
Jana usiku mwanangu Ngina kanistukiza na swali, akitaka kujua eti Senene wanaitwaje kwa kiingereza. Nilijifaragua, kisha nikamwambia nitamjibu baadae, hata hivyo nikamtoroka nikaenda kulala, leo...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Napata wakati mgumu sana kuelewa neno nipo/tupo kwenye mchakato linamaanisha nini hasa? Maana kila mtu analitumia atakavyo,mwenye uelewa zaidi anijuze.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Waandishi wetu mupo wapi?hawa wakenya waharibifu wa lugha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waanzilishi wa lugha ya kiswahili walikuja na maneno mengi ya kiswahili. Kuna baadhi ya maneno yalitumika kwa nadra, lakini yalipata kipaumbele kufanywa kama maneno matukufu katika lugha , kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ILHAM Maisha ni tufe lililosheheni mduara wa muendelezo wenye visa na matukio yenye mipaka ya wakati. Imani hujenga mwanzo na mwisho. Uhalisia huzingatia kuwepo kwa mwanadamu na kuaga kwake. Visa...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu salaam. Je kuna tofauti gani kati ya maana ya maneno *pwani, *mwambao na *ufuko?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenzangu nikueleze, naomba sikio tega, Fanya nenda ukacheze, pale unapo chezaga, Tena muda sipoteze, ondoka pasi kuaga, Chungu hutaki kupwaga, vipi moto uchokoze? Nakuona uko bize, kama wataka...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwagona !! hii Lugha asili yake wapi? ni kbantu kweli? Tofauti kati ya kuoga na kunawa ni nini?
0 Reactions
44 Replies
13K Views
Mtu mzima ni dawa, hutibu kwa njia gani? Nauliza mnojuwa, nipate toka shakani, Maradhi nikizidiwa, nimebwagwa kitandani, Atibu nipate powa, nisibaki taabani, Sipitali twafatani, ka' mtu mzima...
3 Reactions
0 Replies
876 Views
habari zenu wapendwa wa jukwaa la lugha: naendelea na kazi ya ufasiri kiswahili kwenda kiingereza... leo imebidi nifasiri "kiti cha marimba." je, "wooden chair" inatosha? au kiti cha marimba kina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia hili neno 'mfaraka' lkn silijui kwa undani nisaidieni members mwenye uelewa zaidi.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
KWELI SISI NI TWIGA. 1)ni sa sita usiku,balaa litapozuka. Tukichinjwa kama kuku,na wenyewe tukicheka. Na vichwani twa viduku,na bongo za tetemeka. Hivi kweli sisi twiga,ama tunaiga iga...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Sidhani Kama Tunamaanisha Tunachosema tunapoutumia huu usemi ni tafakuri tu lakini
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Back
Top Bottom