Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
vijana wa cku hizi utasikia mambo yao ya mchelemchele...hv nini hasa maana ya hili neno mambo ya mchelemchele?
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Nawajulisha bungeni, na ninyi wa humu ndani Kinyag'nyiro nchini, na mimi nimo kwa ndani Ninazunguka nchini, mijini na vijijini Na mimi nimo kwa ndani, kinyang'anyiro nchini Na mimi nimo njiani...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Naomba nisaidiwe kubadilisha hii sentensi kwa lugha ya Kiingereza. Nashukuru sana.
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii sentensi huwa naiskia sana kwenye vyombo vya habari hususani BBC "siasa za mrengo wa kushoto..au mrengo wa kulia" inamaanisha nini hasa?
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Kwajwa: Kwaja ujio wa haja, mno uliongojewa Ulosemwa ni kangaja, wasiwasi ulozuwa Mngoji sechoka ngoja, na mikono kunyanyuwa Kutwa nilitarajia, sena hakika yatawa...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Kiswahili lugha yangu,Tanzania nchi yangu nayoipenda.Ninajivuni kujifunza misamiati mipya .KARIBUNI WANAJF TUJIVUNIE LUGHA YETU.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii sentensi huwa naiskia sana kwenye vyombo vya habari hususani BBC "siasa za mrengo wa kushoto..au mrengo wa kulia" inamaanisha nini hasa?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1 Mama mama, sorole nyumbu nyama yetu. Mwanangu siye nyumbu siye, Nyumbu mkia wa singa, mrefu kama farasi, Hatembei kwa kuringa, haruki kibelewasi, Ya’ni si kama kinyonga, huenda kwa mwendo kasi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watumiaji wengi wa Kiswahili, nyakati fulani wanatumia maneno ya Kiingereza mahali ambapo wangetumia neno la Kiswahili wakidhani kwamba hakuna neno la Kiswahili ambalo linaweza kuchukua nafasi ya...
3 Reactions
13 Replies
13K Views
UFUNUO WA VILAZA. 1)nasikia mirindimo,na sauti za vilio. Yanaungua machumo,vinafungwa kimbilio. Vinapungua vipimo,nguvu yawa egemeo. Ufunuo wa vilaza,yohana nauandika. 2)wa kale angali...
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Limetumika bungeni na naibu spika kumtuliza mbunge kwa kumuita bwege baada ya kutoridhshwa na mwenendo wake maana yake hasa ni nini hili neno? Pia Arusha limempekeka raia mahakamani kwa kumuita...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Tafadhali alie na uwezo huo, mwenye kufanya kazi kwa uangalifu kwa kuzingatia kanuni za ufasiri, ani pm.
0 Reactions
0 Replies
776 Views
USHAANZA KUBORONGA. 1)kocha alikusaliti,peke yako ukacheza. Ukashinda mikakati,ukiwa na wale wenzako. Zikashinda harakati,na likapona anguko. Mbona waanza boronga,tofali limekushinda. 2)bawabu...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Database kwa kiswahili ni kanzi data.........
0 Reactions
9 Replies
22K Views
nimepata kuwasoma wakuu kama akina acid, kiranga, rev masanilo na wengineo wakitumia neno 'vilaza' katika hoja zao kuonesha mwenendo fulani { pengine kifikra?}. nimejaribu kutumia context kuelewa...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Wasalaam! Naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea kisayansi) mchaichai, kwa wale ambao wamewahi kunywa chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani. Si maana nataka jina...
1 Reactions
29 Replies
19K Views
Rais niombe radhi, tena iwe hadharani, Kauli yako yakuudhi, imekera si utani, Leo nakupa waadhi, uandike ukutani, Nasi tuna yetu hadhi, tulo feli darasani, Mimi kunita kilaza, rais niombe radhi...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Rais niombe radhi, tena iwe hadharani, Kauli yako yakuudhi, imekera si utani, Leo nakupa waadhi, uandike ukutani, Nasi tuna yetu hadhi, tulo feli darasani, Mimi kunita kilaza, rais niombe radhi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tumbo laniunguruma, ninaharisha matata, Kichwa nacho chaniuma, kitovu kinanikata, Kila siku mie homa, ngozi yote yafukuta, Si bure nimeupata, hizi dalili za ngoma. Mbavu zina chomachoma, mgongo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WanaJF ninaomba 2saidiane mana 2libisha sana kiasi kwamba 2meshndwa kuelewa nan yupo sawa
1 Reactions
63 Replies
52K Views
Back
Top Bottom