Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Shikamoo kiswahili!!! Lipi ni neno sahihi, maana watu wng wanachanganya; Walimfata, walimfwata, walimfatwa, walimfuata. Karibu utoe neno lingine ambalo watu wengi wamekua wakichanganya bila...
0 Reactions
1 Replies
962 Views
wakati Nasoma Shahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi. Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatarishi. Hata vitu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. Akanijibu 21002. Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mfanyakazi anaelipwa mshahara bila kufanya kazi anaitwa mfanyakazi hewa. Je? Mfanyakazi anaefanya kazi bila kuchukua mshahara anaitwa nani?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
NIKO MWENYEWE KITANDANI. Barua hino sichane, tena situpe jaani, Kila siku uione, uipime kwa mzani, Saahu vitu vingine, si mahaba yetu hani, Japo mithili ya tone, yakukae mtimani, Nataraji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Neno hili maarufu katika utawala wa Dr Magufuli lina historia ndefu sana. Neno hili lilitumika tangu enzi za Agano la Kale. Ukisoma kitabu cha Nabii Zakaria 13:3 utaona jinsi watu waliokuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hudi huda adil haji. 1)mwanzo wa kale zamani,ni ngano za kilingeni. Kale sasa si thamani,kwa jamii za tumboni. Tungo tata matatani,manju bwana ulingoni. Hudi huda adil haji,zama zamu zamzam...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wakuu. Naomba kujuzwa maana ya maneno kutambua,kujua,kufahamu na kuelewa.Maana watu wamekuwa wakichanganya kwenye mazungumzo maneno haya na wakati mwingine kuleta tafrani.Mfano mtu anaweza...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
binafsi huwa sipendi kusalimiwa au kusalimia SHIKAMOO. sababu kubwa ni historia ya neno lenyewe kuwa la enzi za utumwa "NIKO CHINI YA MIGUU YAKO" lakin ningependa kumsalimia kwa adabu...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
MAAJABU YA AMBONI. 1)ni ya ajabu mapango,kwa mipango ya pangika. Na maajabu milango,iwezayo ingilika. Anza kufanya mpango,nawe uweze kufika Maajabu ya amboni,nawe enda tembelea. 2)shujaa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Siku hizi katika lugha ya kimjini mjini kwa maana ya lugha isiyo rasmi umbea unaitwa ubuyu, ningependa kujua kwasababu gani umbea siku hizi unaitwa pia ubuyu?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MAJIPU BUBU. 1) Kwenye msiba wa mamba chura samaki na wamo. Wapo wakusoma namba,kambale changu na yumo. Kimya kupiga jaramba,bubu haoni mvumo. Yote ni majipu bubu,ngoja yaive uone 2) Jipu...
0 Reactions
0 Replies
629 Views
MUUNGANO WETU NA NENO. 1 Neno limeota meno, lajazua tafarani, Siyaoni mapatano, sote vipembe kichwani, Mwana ashikwe mkono, asipotee njiani, Halikidhi mahitaji, neno likiota meno. 2 Hakika...
1 Reactions
2 Replies
909 Views
NIJUA KAA LA MOTO. 1)Ni jivu linatutisha,vipi tunadhani moto. Ni figa lajisafisha,lije kutoa uoto. Ten linajing'arisha,liwe mweupe uroto Nijua kaa la moto,kumbe jivu la baridi 2)kumbe...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Kwa anaefahamu maana za maneno ya kiswahili anijuze.....kuabiri, marago, kupura, kutakabari.... Shukrani sana
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Je wewe waweza kuzungumza kwa ufasaha lugha ngapi? Lugha mbili?(ya kabila lako na kiswahili?) Lugha tatu? (ya kabila lako, kiswahili na kiingereza?) Lugha nne? (ya kikabila, kiswahili, kingereza...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Unapojua ukweli, kisha sikiza urongo, Ni raha utakubali, kumsikiza mrongo, Mara lile mara hili, ushasoma lake lengo, Tulia mwanangu tuli, sijaribu toa nyongo. Mwana sikiza urongo, zingatia ilo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
JESHI LA WABUGURUSI. 1)Awakarimu manani,mola wetu wa mbinguni. Awape nyingi imani,na amani za nyoyoni. Mzidi kumuamini,namumtie rohoni. Jeshi la wabugurusi,lisonge mbele zaidi. 2)makamanda...
1 Reactions
0 Replies
891 Views
Naomba kujifunza lugha ya Kinyiramba
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Back
Top Bottom