Atabemendwa kwa fujo, haswa haswa kama wewe ni mwenyeji wa Karagwe ambako mbunge wao anasema wanaume wa huko hawaoi wanawake wazuri kwa sababu wanajeshi wanawakwapua kwa nguvu, wanajichukulia! lakini dawa yao hawa ni kuwawekea "tego la kisambaa" liwamalize taratiiibu!