Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Muda unayoyoma, watu wanazidi kubofya... Kwanini nawe usijaribu hiyo bahati ya kuwa mdau wa 3,000,000 kwenye GLOBU ya Kaka Michuzi.. BONYEZA KIUNGANISHI KIFUATACHO CHINI NA KUANGALIA 'HESABU'...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Miaka ya nyuma maneno 'hujumu uchumi' yalitumika sana. Watu walishtakiwa kwa kuhujumu uchumi, nadhani kulikua hakuna dhamana. Mbona siku hizi sisikii mtu akishtakiwa kwa hujuma dhidi ya uchumi...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Mkuu wa kituo cha polisi mbaroni kwa ujambazi 2007-10-26 09:29:16 Na Renatus Masuguliko, PST Chato Polisi Mkoani Kagera inamshikilia Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Bwanga, Wilayani Chato...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wana JF nisaidieni tafadhali, Mpaka sasa, imedhihirika (na ushahidi upo) kuwa mabilioni yameibiwa huko BoT. Pia imedhihirika kuwa wizi huo ulitokea chini ya uangalizi wa Ballali. Lakini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BoT funds recovery exercise: A wild goose chase ? -Reports abound of elaborate money-laundering tactics THISDAY REPORTER Dar es Salaam ABOUT half of the 133bn/- embezzled from the Bank of...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimeshindwa kuitafutia mada hii, sanduku. Hatimae nimeiweka hapa kwa wakufunzi walete moto moto zao. Dini au siasa. Ningeweka ktk dini nahofia ingehamishwa na ningeweka katika siasa ingelikua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Is your MP working hard enough? The Ugandan branch of the Africa Leadership Institute has just launched a new system to hold members of parliament accountable. The scorecard system monitors...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa nimeshtushwa sana na Ubadhirifu wa mabilioni ya fedha za umma katika benki kuu, na kwa kuwa shutuma zilizopelekea uchunguzi kufanyika zilitoka kwa mbunge Mh dr Slaa,basi mimi nina wasiwasi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mbunge nusura agome kushiriki mkutano wa UWT 2008-01-07 10:03:21 Na Selemani Semunyu, Morogoro Mbunge wa Viti Maalum (walemavu), Bi. Magareth Mkanga, nusura agome kushiriki mkutano wa Baraza...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Naomba kuuliza wataalamu wa uchumi, wanieleze faida zitakazo toka kwenye kiwanda cha magadi kinachopendekezwa eneo la Ziwa Natron. Mkataba utakuwa kati ya kampuni ya Tata Chemicals ya India na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Two Tanzanian stowaways to be deported January 22, 2008, 16:30 Two young stowaways, who spent a harrowing eight days on a small ledge above a container ship's rudder from Kenya to Port...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hakuna haja ya tume nyingine tena itumie mabilioni for doing nothing! Tunachotaka ni kuona wahusika wote wanatiwa ndani haraka sana na kufikishwa mahakamani kujibu hatia dhidi ya ufisadi na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back to Story - Help Study: False statements preceded war By DOUGLASS K. DANIEL, Associated Press Writer Wed Jan 23, 6:43 AM ET A study by two nonprofit journalism organizations found that...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika taarifa za za habari jana usiku na leo magazetini kumejitokeza kitu cha kufadhaisha sana hususani ktk suala zima la mwanahabari Kubenea na mzee Tega. Sipendi kuhitimisha ila nimepatwa na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nilikuwa nauliza tuu kama bado ipo maana nilikuwa member pale lakini nasikia akina Big Ron walikuwa na ideas zingine wanaziozijua wao sasa watu huwa wanahanga wapi? Of course i meant decent...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, niliskuwa napitia tovuti ya TACAIDS NA NIikaenda katika link ya forum na huku ndipo nikakuta picha za ngono...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
WanaJF, Kuna mdau mmoja ameniomba nipost 'dili' hii fresh... kama kuna anayeiweza, huu ndio wakti wa kuwa mjasiriamali... mi sina uzoefu wa biashara... From: Africa J Bwamkuu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani nimekuwa nikitatizwa na swali hili. Kuna kampuni moja ya kizalendo iliyojulikana kama "Mwananchi Engineering and Construction Company" (MECCO). Hivi kampuni hii bado ipo ama ilikufa kama...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Najiuliza kidogo wana JF wenzangu kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa umwagiaji wa tindikali kwa mhariri wa MwanaHalisi Bw Kubenea na mapanga kwa Bw Ndimara Tegambwage walikamatwa lini maana mara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ni email ambayo imekuwa forwarded kwangu juzi na nimeona itakuwa vizuri nikii share na wadau hapa, rule zilizotajwa hapa ni kumi tu, ningependa kuona mchango wenu kwenye kuziongeza zaidi na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…