Katika taarifa za za habari jana usiku na leo magazetini kumejitokeza kitu cha kufadhaisha sana hususani ktk suala zima la mwanahabari Kubenea na mzee Tega.
Sipendi kuhitimisha ila nimepatwa na mashaka na wasifu wa wale jamaa waliofikishwa mbele ya Pilato. Wale jamaa ndio waliomsurubu Kubenea kweli? Au polisi wameamua kumridhisha kwa kuitikia wito wake wa 5-7 days wakamatwe la sivyo atawaanika wote waliomtishia maisha.
Binafsi namtaka Kubenea atoke clean na kutueleza kama wale ndio watesi wake au la.
Ni hayo tu ndg zangu
Sipendi kuhitimisha ila nimepatwa na mashaka na wasifu wa wale jamaa waliofikishwa mbele ya Pilato. Wale jamaa ndio waliomsurubu Kubenea kweli? Au polisi wameamua kumridhisha kwa kuitikia wito wake wa 5-7 days wakamatwe la sivyo atawaanika wote waliomtishia maisha.
Binafsi namtaka Kubenea atoke clean na kutueleza kama wale ndio watesi wake au la.
Ni hayo tu ndg zangu