Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,601
- 9,787
Jamani nimekuwa nikitatizwa na swali hili. Kuna kampuni moja ya kizalendo iliyojulikana kama "Mwananchi Engineering and Construction Company" (MECCO). Hivi kampuni hii bado ipo ama ilikufa kama zilivyokufa nyingine?
Walikuwa wakijishughulisha sana na ujenzi wa majengo na madaraja na walishawahi kuwa na timu ya mpira wa miguu miaka ya mwishoni mwa themanini. nakumbuka walijenga jengo la benki kuu kule mkoani Mbeya miaka hiyo.
Kama kuna mwenye taarifa nitafurahi sana kuzipata.
Walikuwa wakijishughulisha sana na ujenzi wa majengo na madaraja na walishawahi kuwa na timu ya mpira wa miguu miaka ya mwishoni mwa themanini. nakumbuka walijenga jengo la benki kuu kule mkoani Mbeya miaka hiyo.
Kama kuna mwenye taarifa nitafurahi sana kuzipata.