Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,288
Nikiwa nimeshtushwa sana na Ubadhirifu wa mabilioni ya fedha za umma katika benki kuu, na kwa kuwa shutuma zilizopelekea uchunguzi kufanyika zilitoka kwa mbunge Mh dr Slaa,basi mimi nina wasiwasi sana na watu wasioutakia mema uchunguzi huu kuweza kufanya mambo ya kuuzima ama kulipiza kisasi, kwa hiyo mimi ninapendekeza/kuiomba serikali itoe ulinzi wa kutosha kwa mheshimiwa DR Slaa. historia imetufundisha mengi na kwa hiyo hatuna haja ya kutokuchukua hatua mathubuti kwalinda wana wenye uzalendo wa kweli na nchi yetu.