Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Musa Mkama MNAJIMU Mkuu Afrika Mashariki Sheikh Yahya Hussein, ametabiri kuwa kutokea kwa madhara mengi ikiwamo kiongozi mmoja wa nchi za Mashariki ya Afrika kutekwa nyara. Akizungumza na...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
I?? Kwa wiki kadhaa sasa bei ya sukari imepanda siku hadi siku. sina huhakika na na mikoa mingine ila nina uhakika na hapa Mwanza. ni jambo la kusikitisha kuona sukari inayotegemewa na karibu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Meli yaungua feri (Posta ya Zamani) Meli ambayo inasemekana ni ya uvuvi iliyokuwa imeegeshwa pembezoni mwa bandari ya Dar es salaam (Feri posta ya zamani) imewaka moto na kunguu vibaya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Meneja mmoja wa usambazaji wa bia za TBL tanzania ameshauri baadhi ya watu kununua bia na kuziweka kwenye friji kabla ya ukata aujaanza kumwaga hadharani...akiongea kwa masikitiko amesema kutokana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Madini kwa Mzungu, mashimo kwa Mtanzania! Joseph Mihangwa Julai 29, 2009 HATA kama isingekuwa udadisi wa vyombo vya habari, hatimaye ingejulikana tu jinsi tunavyoporwa utajiri wa madini yetu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwane Mashungu. SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imemfutia mashitaka mfanyabiashara maarufu Zanzibar, Said Nasir Bopar aliyekuwa akikabiliwa na tuhuma za kuiba dola 880,000 za Marekani kabla...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu wana jambo Forum kwa kutambua mchango wa Jambo forum napenda kuomba msaada katika tatizo langu hili kwani ninaaminia Wanajambo forums.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
MWANAMKE mmoja Saida Hassan [26] amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kutelekeza kichanga cha siku 9 katika nyumba ya moja ya kulala wageni jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu wapendwa, nimekuwa na mawazo tofauti kuhusu serikali kuendelea kuwatunza viongozi wetu Raisi na Waziri mkuu pale wanapoondoka madarakani.Kwa mujibu wa sheria wanatakiwa kutunzwa hadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hakika kwa takriban wiki mbili nimekuwa naangali vichwa mbali mbali vya habari vinavyotawala magazeti mbalimbali ya huko Tanzania na kuona vichwa vingi vinavyotawala ni OIC, Mahakama ya kadhi na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa natumaini wote ni wazima kwa uwezo wa mwenyezi mungu...leo hii ningependa wazazi wote waliobaahatika kuwa na wattoto wao vyuo vikuu...kila usalipo usiache kuwaombea watoto zenu kuna...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani hiki ni kioja cha mwaka yaani website ya bunge inamtaja Migiro kama ndiye scretary general, embu soma hapo chini..TAFADHALI SANA NI DEPUTY SECRETARY GENERAL UN Secretary General, Dr...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika hali iliyoonyesha mahusiano mabaya ya kifamilia yanayosababishwa na wana siasa kujali sana siasa kuliko majukumu yao ya kifamilia jambo moja baya ambalo limejitokeza siku chache zilizopita...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Na Kizitto Noya, Dodoma BAADHI ya wabunge wameitaka serikali kuufunga mgodi wa North Mara ulioko Tarime mkoani Mara, unaomilikiwa na kampuni ya Barrick kwa kuwa unahatarisha mazingira na fya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Polisi wakifanya uchunguzi kwenye nyumba ya Otty Sanchez ambaye alimuua mwanae akisema kuwa aliambiwa afanye hivyo na shetani Tuesday, July 28...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sina hakika kama na wenzangyu mmeliona hili lakini kwa siku za karibuni hili gazeti linaloaminika kwa taarifa moto moto na linalojulikana kwa kupigana dhidi ya ufisadi limekuwa likichelewa kutoka...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ametaka kunguru weusi au maarufu kama kunguru wa Zenji waangamizwe. Mimi binafsi ninamuunga mkono mkuu wa mkoa kwani kunguru hawa ni kero kweli kweli hasa kwenye ma...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni kwamba ile ni meli kweli, tofauti na wengine walivyodai kuwa ni boat Sio ya mafuta ila ni ya mizigo inayopelekwa znz na ilikuwa inafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu na kilichotokea ni kwamba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, Napata taarifa sasa hivi kuwa kuna meli ya mafuta ya Bakhresa inaungua moto karibu na Posta ya zamani, naambiwa imeshaungua zaidi ya nusu... Kama kuna wenye kuwa karibu na eneo hilo pls...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
It wouldn't happen to the Koran: Pope attacks Glasgow art gallery's invitation to vandalise a Bible By Graham Grant Last updated at 10:53 AM on 28th July 2009 Pope Benedict XVI believes the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom