Mke wa selelii ang'ang'ania posho dodoma!

M-bongo

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
338
71
Katika hali iliyoonyesha mahusiano mabaya ya kifamilia yanayosababishwa na wana siasa kujali sana siasa kuliko majukumu yao ya kifamilia jambo moja baya ambalo limejitokeza siku chache zilizopita mjengoni ni pale mke wa Mh Selelii ambaye ni mbunge wa Nzega alipopanga foleni kudai posho iliyokuwa ikitolewa kwa madiwani wa viti maalumu wa wilaya ya NZega. mchezo wenyewe ulikuwa hivi! Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Tabora Mh Aziza Sleyum Aly alitoa mialiko kwa madiwani wa viti maalumu wilaya ya Nzega nafasi ambayo Mh Selelii pia aliona aitumie nafasi hiyo pia kumualiaka mamsapu wake pia ambaye vyanzo vya habari vinadai kuwa ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kukanyaga mjengoni! baada ya matukio yote kwenda kama yalivyopangwa na mwenyeji wao ambaye alikuwa ni Mb viti maalumu nilie mtaja, mwenyeji huyo aliamua kuwapatia wageni wake package ambayo ingeweza kuwa kimu katika maisha ya Dodoma kwa siku chache watakazo kuwepo hapo. katika hali ya kustaajabisha mama selelii nae alipanga foleni katika mgao huo kitu kilichomfanya Mh Aziza anong'one na baadhi ya madiwani kushangaa sababu ya maam selelii nae kupanga foleni ya mgao wakati aliye mwita Dodoma ni mumewe yaani Mh Selelii hata hivyo Mh Aziza alilazimika kumpa posho mama huyo huku akinung'unika, swali hapa je mke wa Mh selelii kudai posho katika mgao wa madiwani ni sa hihi wakati hakuitwa na aliyekuwa akigawa posho hizo?
 
Katika hali iliyoonyesha mahusiano mabaya ya kifamilia yanayosababishwa na wana siasa kujali sana siasa kuliko majukumu yao ya kifamilia jambo moja baya ambalo limejitokeza siku chache zilizopita mjengoni ni pale mke wa Mh Selelii ambaye ni mbunge wa Nzega alipopanga foleni kudai posho iliyokuwa ikitolewa kwa madiwani wa viti maalumu wa wilaya ya NZega. mchezo wenyewe ulikuwa hivi! Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Tabora Mh Aziza Sleyum Aly alitoa mialiko kwa madiwani wa viti maalumu wilaya ya Nzega nafasi ambayo Mh Selelii pia aliona aitumie nafasi hiyo pia kumualiaka mamsapu wake pia ambaye vyanzo vya habari vinadai kuwa ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kukanyaga mjengoni! baada ya matukio yote kwenda kama yalivyopangwa na mwenyeji wao ambaye alikuwa ni Mb viti maalumu nilie mtaja, mwenyeji huyo aliamua kuwapatia wageni wake package ambayo ingeweza kuwa kimu katika maisha ya Dodoma kwa siku chache watakazo kuwepo hapo. katika hali ya kustaajabisha mama selelii nae alipanga foleni katika mgao huo kitu kilichomfanya Mh Aziza anong'one na baadhi ya madiwani kushangaa sababu ya maam selelii nae kupanga foleni ya mgao wakati aliye mwita Dodoma ni mumewe yaani Mh Selelii hata hivyo Mh Aziza alilazimika kumpa posho mama huyo huku akinung'unika, swali hapa je mke wa Mh selelii kudai posho katika mgao wa madiwani ni sa hihi wakati hakuitwa na aliyekuwa akigawa posho hizo?

Mkuu kama sio jungu labda sijaelewa vizuri. Naona swali hapa lingekuwa kwanini Mh Aziza ampe posho mtu ambaye si diwani. Yeye ndiye aliyetekiwa kuwajibishwa au anatakiwa kuulizwa kwanini anatoa mgao kwa mtu asiyestahili. Just opinion, i stand to be challenged and corrected.
 
Katika hali iliyoonyesha mahusiano mabaya ya kifamilia yanayosababishwa na wana siasa kujali sana siasa kuliko majukumu yao ya kifamilia jambo moja baya ambalo limejitokeza siku chache zilizopita mjengoni ni pale mke wa Mh Selelii ambaye ni mbunge wa Nzega alipopanga foleni kudai posho iliyokuwa ikitolewa kwa madiwani wa viti maalumu wa wilaya ya NZega. mchezo wenyewe ulikuwa hivi! Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Tabora Mh Aziza Sleyum Aly alitoa mialiko kwa madiwani wa viti maalumu wilaya ya Nzega nafasi ambayo Mh Selelii pia aliona aitumie nafasi hiyo pia kumualiaka mamsapu wake pia ambaye vyanzo vya habari vinadai kuwa ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kukanyaga mjengoni! baada ya matukio yote kwenda kama yalivyopangwa na mwenyeji wao ambaye alikuwa ni Mb viti maalumu nilie mtaja, mwenyeji huyo aliamua kuwapatia wageni wake package ambayo ingeweza kuwa kimu katika maisha ya Dodoma kwa siku chache watakazo kuwepo hapo. katika hali ya kustaajabisha mama selelii nae alipanga foleni katika mgao huo kitu kilichomfanya Mh Aziza anong'one na baadhi ya madiwani kushangaa sababu ya maam selelii nae kupanga foleni ya mgao wakati aliye mwita Dodoma ni mumewe yaani Mh Selelii hata hivyo Mh Aziza alilazimika kumpa posho mama huyo huku akinung'unika, swali hapa je mke wa Mh selelii kudai posho katika mgao wa madiwani ni sa hihi wakati hakuitwa na aliyekuwa akigawa posho hizo?

Mimi nilitegemea kuwa alifuatwa na kueleweshwa kwamba amepanga foleni ambayo haimhusu. Badala yake anapewa posho kwa kuonewa aibu...!!!

Mifano kama hii ni dhahiri wa kulaumiwa ni sisi Wananchi wenyewe wala sio viongozi.
 
Mkuu kama sio jungu labda sijaelewa vizuri. Naona swali hapa lingekuwa kwanini Mh Aziza ampe posho mtu ambaye si diwani. Yeye ndiye aliyetekiwa kuwajibishwa au anatakiwa kuulizwa kwanini anatoa mgao kwa mtu asiyestahili. Just opinion, i stand to be challenged and corrected.


Mkuu thats the big question, na mi naongezea kuwa how relevant is this in this forum? si kuna kale kaukumbi ka sijui macelebrities? hili ni jungu ambalo ni too low kwa hapa
 
No! Mh Aziza alikuwa akigawa posho kwa watualiowaita mjengoni! mama selelii akapanga foleni kitu kilicho mlazimu mgawaji nae atoe posho hiyo kwa mtu asiye stahili ni kama vile umeandaa tafrija unagawa kadi halafu mtu anakuja bila kadi yaani gate crasher
 
No! Mh Aziza alikuwa akigawa posho kwa watualiowaita mjengoni! mama selelii akapanga foleni kitu kilicho mlazimu mgawaji nae atoe posho hiyo kwa mtu asiye stahili ni kama vile umeandaa tafrija unagawa kadi halafu mtu anakuja bila kadi yaani gate crasher

Asante kwa kutukumbusha kwamba kampeni zinaendelea.... nijuavyo mimi hakuna posho inayotolewa kwa watu wasiokuwamo kwekye orodha

Tutaskia mengi sana mwaka... nakumbuka na ya mke wa silaa enzi zile za kipindi kileeeee

 
Campaign time!

You can sense that this is a negative campaign against MR. SELELII.

If Aziza Sleyum decided to give posho to Mrs. Selelii its her own decision. No big deal.
 
Msimlaumu huyo mama, kama mwandishi alivyosema ni mara yake ya kwanza mjengoni, yawezekana kabisa alikuwa hajui kinachoendelea, alivyoona watu waliokuwepo ukumbini wanapanga mstari basi na yeye akaunga bila kujua kuwa alialikwa kusilikiza tu na sio kugawana kodi zetu. Wakumlaumu ni Mume wake kwani kama vile alivyomualika basi angekuwa na wajibu wa kumuongoza pia katika mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na hilo badala ya kumuacha adhirike mbele za watu. Ni kitu cha kawaida kabisa mtu unaweza kujikuta katika mazingira flani hasa ugenini unajikuta unafanya vile wenyeji wanafanya bila hata kujiuliza sababu, Unakuja kushtuka mwisho ukiwa umeshachelewa. Yawezekana haukuwa nia yake kutoka moyoni
 
mh.Kaizer akatofautiana na wote hapa. nafikiri tusiwe tunagawa mada kwa kufiri kuwa kuna ambazo zinafaa hapa na kule kwa jirani. Mfano mada hii hapo juu, inaonyesha nchi ilivyo, kwani ni style hiyo ya kuoneana aibu, iliyotufikisha hapa. kuamini kuwa kumwambia mmheshimiwa fulani,amekosea au sio mahara pake, itakuwa ni kufanya kosa. mara ngapi katika mabenki, au posta na maeneo ya huduma, watu wanapita utaratibu nasi tukiogopa kusema, hapana panga foleni, au ondoka hapo kwa sababu ya aibu,au woga.
HUYO, mbunge wa viti maalum hastahili kurudi, kwani hao ndo rubberstamp za vitu vya kijinga kwa sababu tu ya ushikaji, aibu na woga kama alivyomwonea aibu mke wa mheshimiwa seleli.
 
haya majungu tu hakuna ukweli wowote wakati wanapewa posho hizo ulikuwepo au ndo umbea umetumwa na wafadhili wako toka igunga.
 
La kwangu mimi ni swali kwa mtoa mada,katika thread anasema "vyanzo vya habari vinadai hajawahi (mama Seleli) kukanyaga jengoni(la Bunge)".Hicho chanzo kina uhakika? Na kama ni kweli kuna ubaya gani?
 
Mimi nilitegemea kuwa alifuatwa na kueleweshwa kwamba amepanga foleni ambayo haimhusu. Badala yake anapewa posho kwa kuonewa aibu...!!!

Mifano kama hii ni dhahiri wa kulaumiwa ni sisi Wananchi wenyewe wala sio viongozi.
Na hii wala haithibitishi hilo linaloelezwa kuwa ni kung'ang'ania au kudai kama ambavyo tulitakiwa kuamini
 
Msimlaumu huyo mama, kama mwandishi alivyosema ni mara yake ya kwanza mjengoni, yawezekana kabisa alikuwa hajui kinachoendelea, alivyoona watu waliokuwepo ukumbini wanapanga mstari basi na yeye akaunga bila kujua kuwa alialikwa kusilikiza tu na sio kugawana kodi zetu. Wakumlaumu ni Mume wake kwani kama vile alivyomualika basi angekuwa na wajibu wa kumuongoza pia katika mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na hilo badala ya kumuacha adhirike mbele za watu. Ni kitu cha kawaida kabisa mtu unaweza kujikuta katika mazingira flani hasa ugenini unajikuta unafanya vile wenyeji wanafanya bila hata kujiuliza sababu, Unakuja kushtuka mwisho ukiwa umeshachelewa. Yawezekana haukuwa nia yake kutoka moyoni

huyu mama Seleli kafanya kosa,ilitakiwa aseme kuwa yeye pakulala anapo.angerudisha hizo posho kama angekuwa mstaraabu.
ameamua kujikausha sasa anaumbuka.
pia seleli iltakiwa amtambulishe mke wake bungeni rasmi.
 
Back
Top Bottom