- Feb 10, 2006
- 4,542
- 16,818
Wakuu,
Napata taarifa sasa hivi kuwa kuna meli ya mafuta ya Bakhresa inaungua moto karibu na Posta ya zamani, naambiwa imeshaungua zaidi ya nusu...
Kama kuna wenye kuwa karibu na eneo hilo pls tunaomba updates zaidi
Napata taarifa sasa hivi kuwa kuna meli ya mafuta ya Bakhresa inaungua moto karibu na Posta ya zamani, naambiwa imeshaungua zaidi ya nusu...
Kama kuna wenye kuwa karibu na eneo hilo pls tunaomba updates zaidi