Novatus
JF-Expert Member
- Jul 28, 2007
- 330
- 37
I??
Kwa wiki kadhaa sasa bei ya sukari imepanda siku hadi siku. sina huhakika na na mikoa mingine ila nina uhakika na hapa Mwanza. ni jambo la kusikitisha kuona sukari inayotegemewa na karibu kila mwananchi toka mtoto hadi mzee, toka mgonjwa hadi wenye afya, tajiri na maskini!!
Viwanda vyetu vinafanya kazi kwani sukari inayoonekana madukani inatoka viwanda vya hapa nchini. Jamani mwenye kuelewa ni kwanini atueleze.
WABUNGE pamoja na shughuli nzito za kutetea hoja mbalimabali fuatilia hili linagusa jamii mnayoiwakilisha.
Kwa wiki kadhaa sasa bei ya sukari imepanda siku hadi siku. sina huhakika na na mikoa mingine ila nina uhakika na hapa Mwanza. ni jambo la kusikitisha kuona sukari inayotegemewa na karibu kila mwananchi toka mtoto hadi mzee, toka mgonjwa hadi wenye afya, tajiri na maskini!!
Viwanda vyetu vinafanya kazi kwani sukari inayoonekana madukani inatoka viwanda vya hapa nchini. Jamani mwenye kuelewa ni kwanini atueleze.
WABUNGE pamoja na shughuli nzito za kutetea hoja mbalimabali fuatilia hili linagusa jamii mnayoiwakilisha.