Kwanini bei ya sukari ipande kama petrol

Novatus

JF-Expert Member
Jul 28, 2007
330
37
I??

Kwa wiki kadhaa sasa bei ya sukari imepanda siku hadi siku. sina huhakika na na mikoa mingine ila nina uhakika na hapa Mwanza. ni jambo la kusikitisha kuona sukari inayotegemewa na karibu kila mwananchi toka mtoto hadi mzee, toka mgonjwa hadi wenye afya, tajiri na maskini!!

Viwanda vyetu vinafanya kazi kwani sukari inayoonekana madukani inatoka viwanda vya hapa nchini. Jamani mwenye kuelewa ni kwanini atueleze.

WABUNGE pamoja na shughuli nzito za kutetea hoja mbalimabali fuatilia hili linagusa jamii mnayoiwakilisha.
 
I??

Kwa wiki kadhaa sasa bei ya sukari imepanda siku hadi siku. sina huhakika na na mikoa mingine ila nina uhakika na hapa Mwanza. ni jambo la kusikitisha kuona sukari inayotegemewa na karibu kila mwananchi toka mtoto hadi mzee, toka mgonjwa hadi wenye afya, tajiri na maskini!!

Viwanda vyetu vinafanya kazi kwani sukari inayoonekana madukani inatoka viwanda vya hapa nchini. Jamani mwenye kuelewa ni kwanini atueleze.

WABUNGE pamoja na shughuli nzito za kutetea hoja mbalimabali fuatilia hili linagusa jamii mnayoiwakilisha.
Kwanza viwanda vyote vilibinafsishwa na viongozi ni share holders.
Lakini walipokuja na sera ya kulinda viwanda vya ndani, na kwa kuwa hakuna mtetezi wa mlaji kwa hii wanaita free market, wajanja hawa wachache wametumia jukwaa hilo kuibia wananji.

Ndivyo ilifanyika hata katika mafuta hadi EWULA walipoamka usingizini
 
Kwanza viwanda vyote vilibinafsishwa na viongozi ni share holders.
Lakini walipokuja na sera ya kulinda viwanda vya ndani, na kwa kuwa hakuna mtetezi wa mlaji kwa hii wanaita free market, wajanja hawa wachache wametumia jukwaa hilo kuibia wananji.
Ndivyo ilifanyika hata katika mafuta hadi EWULA walipoamka usingizini

Naungana na wewe kabisa, nchi za wenzetu kuna "professional lobyists" katika kuhakikisha maslahi ya wafanya biashara yanalindwa na watunga sheria na sera za nchi.
Tanzania wanasiasa wengi wanakuwa wafanyabiashara na kila maamuzi wanayofanya wanafikiria kwanza wao watanufaika vipi, kwenye biashara zao na hata rushwa walizopokea toka kwa wafanyabiashara ili wawakandamize wananchi ambao hawana hela za kuwahonga viongozi ili matatizo yao yapewe kipaumbele
 
Kwani Kagera shuga imekuwaje? Nilidhani wao ndio wanasambaza huko kanda ya ziwa?
 
Kwani Kagera shuga imekuwaje? Nilidhani wao ndio wanasambaza huko kanda ya ziwa?
Property of fisadis are all over the country!Price r the same every where.
Uwezi kuamini.
Hakuna hata haja ya kuwa na kiwanda kule Kagera. It makes no difference!:(

Tunao sasa beparis from our own people voted by us:(
 
Back
Top Bottom