Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Ni kwamba ile ni meli kweli, tofauti na wengine walivyodai kuwa ni boat
Sio ya mafuta ila ni ya mizigo inayopelekwa znz na ilikuwa inafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu na kilichotokea ni kwamba mafuta yalimwagika na kushika cheche zilizokuwa zinadondoka kutoka walipokuwa wanachomelea na kushika moto.
Kama kuna wenye taharifa zaidi/tofauti ya hizi watujulishe.
Sio ya mafuta ila ni ya mizigo inayopelekwa znz na ilikuwa inafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu na kilichotokea ni kwamba mafuta yalimwagika na kushika cheche zilizokuwa zinadondoka kutoka walipokuwa wanachomelea na kushika moto.
Kama kuna wenye taharifa zaidi/tofauti ya hizi watujulishe.