Meli yaungua feri (Posta ya Zamani)

Meli yaungua feri (Posta ya Zamani)

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
Meli yaungua feri (Posta ya Zamani)


meli.gif
Meli ambayo inasemekana ni ya uvuvi iliyokuwa imeegeshwa pembezoni mwa bandari ya Dar es salaam (Feri posta ya zamani) imewaka moto na kunguu vibaya.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa meli hiyo ilikuwa imeegeshwa hapo kwa mda mrefu sana kwa sababu ya matengenezo yaliyokuwa yanendelea kwenye meli hiyo.
 
Back
Top Bottom