Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Meneja mmoja wa usambazaji wa bia za TBL tanzania ameshauri baadhi ya watu kununua bia na kuziweka kwenye friji kabla ya ukata aujaanza kumwaga hadharani...akiongea kwa masikitiko amesema kutokana na kandhari ya leo....wameambiwa wawe makini na stock iliyoo.....habari njema kwa serengeti lager...............Kutokana na hili kuna wasiwasi wa bia kuongezeka bei..na kuwashauri watu kuwahi kununua nyingi waweke nyumbani kama gla la kuhifadhi vyakula.....