Bia za tbl kuongezeka bei???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Meneja mmoja wa usambazaji wa bia za TBL tanzania ameshauri baadhi ya watu kununua bia na kuziweka kwenye friji kabla ya ukata aujaanza kumwaga hadharani...akiongea kwa masikitiko amesema kutokana na kandhari ya leo....wameambiwa wawe makini na stock iliyoo.....habari njema kwa serengeti lager...............Kutokana na hili kuna wasiwasi wa bia kuongezeka bei..na kuwashauri watu kuwahi kununua nyingi waweke nyumbani kama gla la kuhifadhi vyakula.....
 
Mmh! sasa sijui tununue na kuweka stock kiasi gani!? Si zitaisha tu? Tusubiri tu zipande. Zitanywewa tu hata kama ni kwa gharama gani! Hakuna jinsi.
 
Back
Top Bottom