HICHI NI KIZAZI CHA UDSM
Sasa imetimia zaidi ya 12 toka kuanzishwa vyama vingi nchini Tanzania , kuanzishwa kwa vyama hivi ilionekana kama vile ndio mwokozi Fulani hivi kwa wananchi wa...
Habari toka dodoma zinasema treni mbili za mizigo zimegongana uso kwa uso asubuhi hii karibu na stesheni ya zuzu nje kidogo nan mji wa dodoma katika reli ya kati.
Kwa mujibu wa mganga mkuu wa...
Siku hizi kusikia kwamba mwanachi asiye na hatia ameuwawa na Polisi si jambo la ajabu tena.Polisi nao sasa wanajichukulia sheria mikononi mwao.Matukio ya namna hii yameripotiwa na vyombo vya...
Benard Tabaire
African countries are different in many respects as are the countries of other continents. In his Accra speech last week, however, U.S. President Barack Obama addressed the...
Tanzania National Assembly.
Members of Parliament have asked the government to be extra careful when discussing the issue of land in the East African Community (EAC).
The legislators sounded...
Siku zote ninaamini katika ukweli kwa kuwa daima humweka mtu huru hata kama unauma
Wakati Bw.Charles Keenja anaomba kura za wanaubungo wa kibangu na makoka aliweka bayana kuwa yeye na CCM...
Rose akikagua vyitu vyake vilivyotupwa nje na mwenye nyumba wake
Kijana huyu anakagua kama CD zote vipo. Sipati picha kama ingekuwa Kinondoni ingekuwaje, hata sisi tusingeweza kupiga picha...
Polisi wa ukonga hapa Dar, jana wamemchukua raia nyumbani kwake jioni, na kwenda naye kituoni kwa mahojiano, ndugu zake walipoenda kesho yake wakaambiwa kuwa ndugu yao, amepata homa hivyo kalazwa...
Pagan police to get witchcraft holidays
Thursday, July 16, 2009
Chants: Andy Pardy
Police officers who indulge in witchcraft have been given the right to take Hallowe'en and the summer...
Angola police say release 29 children from sect.
Angolan police rescued 29 children accused of witchcraft from a house that belongs to a religious sect leader who says he has special powers...
Mjadala uliotawala katika bunge kuhusu Wizara ya maliasili na utalii, kuhusu contena zilizoshikwa na pembe za ndovu huko vietnam, wanashagha nini ? Eti limepitaje mpaka kufika huko ? Naona wengi...
Jikumbushe maneno haya ya aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Retzer, alipokuwa akiwaaga Watanzania nyumbani kwake 30.08.2007 Dar es Salaam.
"Kwa bahati mbaya, matatizo ya...
wana jf kama inayojulikana kila mtu anakula madhbahuni mwake lakini kuna mambo ambayo inabidi uangalie jinsi ya kula usije kimbiza waumini ukaulizwa siku ya mwisho...hali hiyo imeanza kutokea kwa...
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Mpanda mkoani Rukwa PC Omary, amenusurika kufa baada ya kupinduka mtoni wakati akiendesha gari alilomnyang'anya...
Tumekuwa katika harakati nyingi saana za kuelezea masikitiko yetu ya namna nchi inapoelekea. Kila mtu anaguswa kwa namna moja au nyingine na mustakabali wa Taifa. Sasa ndugu wana JF, je tunao watu...
wana JF naomba kutoa hoja, tumezoea kuona companies nyingi kufanya promotions mabalimbali, lakini hili la kutoa 100M kwa mtu mmoja wakati una wateja Mil 5, sio busara. wapo wateja wengi ambao...
Wandugu napenda kuelezea hisia zangu kwa hili tangazo la TAMWA, linalomuonyesha binti wa shule akipambana na vikwazo na majaribu mbalimbali nimelipenda sana. Siku zote nilikuwa nikifikiri njia...
Kama Mtanzania mwenye utu, pindi upatapo nafasi ya kumtia Banza machoni kwa kipindi hiki, yamkini utamlilia msanii huyo nembo ya muziki wa dansi ambaye anahitaji msaada wa hali na mali kuirejea...
Tangu sherehe za Nane Nane zimeanzishwa ni muda mrefu sana sasa.Nitakuwa mwongo nikisema nakumbuka mwaka zilipoanzishwa rasmi,kwa kweli sikumbuki.Wana JF nisaidieni.Lakini swali la msingi ni hili...
Kuna tetesi kuwa jeshi linatarajia kufanya mazoezi ya kivita mkoani pwani wiki ijayo,
Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,
Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.