Ukimuona ni paka wa kawaida ambaye hana tofauti yoyote na paka wengine lakini inasemwa kuwa ana uwezo wa kuwatambua wagonjwa wanaokaribia kufariki hospitalini na hadi sasa imesemwa kuwa...
Florida Court Sets Atheist Holy-Day!
Gotta love this Judge!
You must read this.......a proper decision by the courts....for a change.
FLORIDA COURT SETS ATHEIST HOLY DAY
In Florida ...
WATU wanaoaminika kuwa ni majambazi jijini Dar es Salaam, wamemuua kwa kumpiga risasi, mmoja kati ya watu wawili waliowavamia.
Tukio hilo la aina yake lilitokea juzi saa 3:30 usiku katika...
Chini nimejaribu kutaja watanzania waliofungua mlango wa kutafuta Elimu ya juu nje ya nchi. Ni muhimu kuwajua wanafunzi wakitanzania waliosoma Uingereza enzi hizo, labda pia ndio walioanzisha...
Kuna dhana imeanza kujengeka miongoni mwa watanzania kwamba haiwezekani kufanikiwa katika maisha bila kufanya usanii (kuiba, kughushi, kula 10% illegally etc), matokeo yake kumekuwa na matukio...
A COACH driver for National Express was jailed yesterday after his terrified passengers dialled 999 during an eight-mile road rage chase on the M6.
Furious Brian Larrad, 53, SWERVED across...
Wakuu,
Kwa kuwa Wabunge wetu (hasa wa CCM) wametuangusha sana kwenye masuala mengi ya kitaifa naomba tuanzishe hilo Bunge hapa.
Mods na wajuvi wengine watusaidie kwa namna gani bora tunaweza...
I LOVE YOU ALL,MEN CAN AS WELL READ TO SEE N GET BLESSING TOO
'A woman's heart should be so hidden in Christthat a man should have to seek Him first to find her
When I say that 'I am a...
JITIHADA za Serikali kutaka kuzima mgomo kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), unaweza kugonga ukuta endapo madai yao hayatashughulikiwa haraka.
Utata huo umejitokeza leo asubuhi...
Wana JF nisaidieni kwa hili;
Ukiangalia mfumo wa elimu yetu ya Tz ka imekaa kimagumashi magumashi kwa sababu haibadiliki na technologia mfano madarasa,vifaa vilivyoachwa na wakoloni mpaka leo ndo...
Septemba 24, mwaka 2008 tuliwaletea makala ya mmoja wa wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Simeon Mesaki, aliyetunukiwa shahada yake ya uzamivu kutokana na utafiti wake kuhusu uchawi...
AJUZA wa miaka 80, mkazi wa kitongoji cha Kiwangwa wilayani Bagamoyo amebakwa na kijana mwenye umri wa miaka 35 na kusababishiwa majeraha makali katika sehemu zake za siri.
Tukio hilo lilitokea...
THE Court of Appeal would on Thursday deliver its judgment in the landmark appeal involving Nguza Viking, alias Babu Seya and his three sons, currently serving life jail terms for raping and...
Napenda sana kujifunza Lugha,sasa kingereza kwangu ni lugha ya 3 kujifunza,nikianza na lugha yangu ya kimpoto,kiswahili alafu kingereza,sasa kuna maneno yananitatiza sana kutoka kiswahili to...
SHIRIKA la Ndege la Rwanda (RwandAir) linatarajia kuzindua rasmi safari zake za ndege za kutoka Dar es Salaam kupitia Bujumbura kuanzia kesho.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na ofisi...
Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba soko lililopo Mpanda mkoani Rukwa linalofahamika kwa jina la Buzega limeungua lote usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kwa wafanya biashara wa...
KATIKA kile kilichoelezwa kuwa ni homa ya uchaguzi mmoja wa wabunge jana alimwandikia ujumbe Spika wa Bunge Samuel Sitta, ukiwa na anuani 'Madam Spika'.
Tukio hilo la aina yake lililoibua hisia...
10th February 2010
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, ametoa ruksa kwa malori, kenta, magari ya wazi kuwasafirisha wanafunzi wanaosoma nje ya Jiji.
Alitoa agizo hilo jana akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.