Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ukimuona ni paka wa kawaida ambaye hana tofauti yoyote na paka wengine lakini inasemwa kuwa ana uwezo wa kuwatambua wagonjwa wanaokaribia kufariki hospitalini na hadi sasa imesemwa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Florida Court Sets Atheist Holy-Day! Gotta love this Judge! You must read this.......a proper decision by the courts....for a change. FLORIDA COURT SETS ATHEIST HOLY DAY In Florida ...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WATU wanaoaminika kuwa ni majambazi jijini Dar es Salaam, wamemuua kwa kumpiga risasi, mmoja kati ya watu wawili waliowavamia. Tukio hilo la aina yake lilitokea juzi saa 3:30 usiku katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Chini nimejaribu kutaja watanzania waliofungua mlango wa kutafuta Elimu ya juu nje ya nchi. Ni muhimu kuwajua wanafunzi wakitanzania waliosoma Uingereza enzi hizo, labda pia ndio walioanzisha...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Huku kupanda ghafla kwa bidhaa muhimu ya petroli mbona hakutolewi maelezo yoyote na hawa wenzetu wa ewura? Au ndio tunazichanga hela za uchaguzi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna dhana imeanza kujengeka miongoni mwa watanzania kwamba haiwezekani kufanikiwa katika maisha bila kufanya usanii (kuiba, kughushi, kula 10% illegally etc), matokeo yake kumekuwa na matukio...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
A COACH driver for National Express was jailed yesterday after his terrified passengers dialled 999 during an eight-mile road rage chase on the M6. Furious Brian Larrad, 53, SWERVED across...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa kuwa Wabunge wetu (hasa wa CCM) wametuangusha sana kwenye masuala mengi ya kitaifa naomba tuanzishe hilo Bunge hapa. Mods na wajuvi wengine watusaidie kwa namna gani bora tunaweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
I LOVE YOU ALL,MEN CAN AS WELL READ TO SEE N GET BLESSING TOO 'A woman's heart should be so hidden in Christthat a man should have to seek Him first to find her When I say that 'I am a...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
JITIHADA za Serikali kutaka kuzima mgomo kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), unaweza kugonga ukuta endapo madai yao hayatashughulikiwa haraka. Utata huo umejitokeza leo asubuhi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeiona inazunguka tu, kumbe kitambo ati. Kama ni kweli tumekwisha! Leka
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF nisaidieni kwa hili; Ukiangalia mfumo wa elimu yetu ya Tz ka imekaa kimagumashi magumashi kwa sababu haibadiliki na technologia mfano madarasa,vifaa vilivyoachwa na wakoloni mpaka leo ndo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Septemba 24, mwaka 2008 tuliwaletea makala ya mmoja wa wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Simeon Mesaki, aliyetunukiwa shahada yake ya uzamivu kutokana na utafiti wake kuhusu uchawi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
AJUZA wa miaka 80, mkazi wa kitongoji cha Kiwangwa wilayani Bagamoyo amebakwa na kijana mwenye umri wa miaka 35 na kusababishiwa majeraha makali katika sehemu zake za siri. Tukio hilo lilitokea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
THE Court of Appeal would on Thursday deliver its judgment in the landmark appeal involving Nguza Viking, alias Babu Seya and his three sons, currently serving life jail terms for raping and...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Napenda sana kujifunza Lugha,sasa kingereza kwangu ni lugha ya 3 kujifunza,nikianza na lugha yangu ya kimpoto,kiswahili alafu kingereza,sasa kuna maneno yananitatiza sana kutoka kiswahili to...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
SHIRIKA la Ndege la Rwanda (RwandAir) linatarajia kuzindua rasmi safari zake za ndege za kutoka Dar es Salaam kupitia Bujumbura kuanzia kesho. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na ofisi...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba soko lililopo Mpanda mkoani Rukwa linalofahamika kwa jina la Buzega limeungua lote usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kwa wafanya biashara wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KATIKA kile kilichoelezwa kuwa ni homa ya uchaguzi mmoja wa wabunge jana alimwandikia ujumbe Spika wa Bunge Samuel Sitta, ukiwa na anuani 'Madam Spika'. Tukio hilo la aina yake lililoibua hisia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
10th February 2010 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, ametoa ruksa kwa malori, kenta, magari ya wazi kuwasafirisha wanafunzi wanaosoma nje ya Jiji. Alitoa agizo hilo jana akiwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom