Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
AN EAST AFRICAN PERSPECTIVE Jerry Okungu I HAVE said it before in this column. I am glad senior managers at the East African Community Secretariat are seeing it now. I saw it way back when...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wafikiriaji naomba kuuliza hivi kwa nini wahariri wa vyombo vya habari Tanzania hawatulii sehemu moja kila siku wana hama hama?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali ya Uingereza imetangaza mpango wake wa kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopewa viza za kusoma nchini humo. Serikali ya Uingereza imetangaza kuweka sheria na masharti magumu katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nimeona onyo limetolewa kuwa kuna wizi mpya kwa kutumia ATM na Credit cards zilizo ibwa na wezi hawa wana-temper na chip pamoja na pin za hizi cards. Kwa habari zaidi tembelea link hapo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaji Herman Thomas, jaji ambaye alikuwa akiheshimika sana kiasi cha kwamba alikuwa akitabiriwa kuwa jaji mkuu wa kwanza mweusi wa Alabama Kusini, huenda akahukumiwa kwenda jela maisha baada ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Friends; Nimeona hatuipi kipaumbele Jamii Doctor. It is equally important to visit. Maana najua tulio humu tuko na professional tofauti so tutumie column hiyo kusaidia jamii kuhabarishana healthy...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
JF members, I received the following mail from the so called "EMAIL LOTTERY PROMOTION AWARD COMITEE"" Can it be true? The mail.,,,,, !!!!!CONGRATULATION!!!! FROM THE EMAIL LOTTERY PROMOTION...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tukiwa tunajongea karibu na uchaguzi mkuu wa wabunge, madiwani na rais, umaarufu wa mwanasiasa kijana wa kambi ya upinzani kutoka CHADEMA umepungua mno. Amekuwa kimya sana, hatoi tena zile hoja...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimekutana na hii blogu inaitwa http://tanzaniascholarships.blogspot.com/ ni blogu ambayo iko dedicated kutoa taarifa za scholarship zinazowahusu watanzania. Ni vizuri kuwa na watanzania ambao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kumekuwepo na wimbi la uchafuzi wa jiji la Dar es Salaam kunakofanywa na masangoma ambao huwa hawachagui mahali pa kuyaweka matangazo ya shughuli zao, wanaweka popote tu hadi Airport kuna vitambaa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inasemekana ndani ya kampuni hiyo mambo si shwari kutokana na kwa miezi kadhaa sasakushindwa kuwalipa wafanyakazi mishahara kwa wakati ( tarehe 46) na pia kukabiliwa na migogoro kadhaa ya ki...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya biashara wataingia msituni siku ya Jumatatu ya tarehe 22.02.2010 kugomea utaratibu mbovu unaotumiwa na menejimenti ya benki hiyo kwenye suala zima la kugawa mgao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba msome hiyo verse then mnipe mchango wenu! Na kwa kuipa kichwa (motion of discussion) swali ni: Is it right for a believer to date a non-believer? Nawasilisha... Inapatikana...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Nimekutana na hii kitu na kuipenda sana. Siku yangu imekuwa angavu kwa maneno yaliyoko humu. Hebu na wewe chungulia halafu uamue mwenyewe uko vipi? 6 Personality traits to admire and acquire...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Asubuhi ya leo katika taarifa ya habari ya Clouds FM nimesikia kuwa serikali imeshatoa uraia kwa wakimbizi wa Kisomali zaidi ya 4000 na kuna wengine takribani 1500 hasa wale walio maeneo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
9/11: The biggest lie in history! Watch this video from White-Americans proving that the Pentagon-bombing was done by a Global Hawk drone! No human-bodies, no airplane-debris of boeing 757, and...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimelazimika kutafuta nakala ya hukumu ya Babu Seya na Wanae iliyotolewa leo hii na mahakama ya rufaa, naomba wanaJF wote tuisome between the lines ili tuelewe kilichopelekea wengine kuachiwa na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. William Lukuvi, amebaini watu wanaojaza maji ya yasiyo safi na salama katika chupa za maji na kuyasambaza mtaani kwa ajili ya kuyauza baada ya kufanya ziara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom