Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Baada ya kauli ya Mr Tim clarke kuwa hawajaona maendeleo yoyote kwa wakulima kwa kipindi cha miaka 20 iliyopita. Sirikali imeamka usingizini na kuwa mbogo kuanza kumuandama Mr Tim Clarke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtendaji Mkuu haivi na viongozi wa wizara Anafanya maamuzi makubwa bila baraka zao Waziri wa Wizara ya Miundo Mbinu, Dk. Shukuru...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Duh sijashangaa kusikia mh huyu ameamua kutangaza nia je ni danganya toto???
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Wadau, kuna habari kuwa serikali mpya ya uingereza imeamua kujipunguzia mishahara kwa 5% ili kupunguza bajeti ya madeni. Hivi hapa bongo kama mawaziri na watumishi wa serikali na wabunge...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hotuba yake ya kwanza bungeni kwenye hitimisho alisema "Najua wahisani wetu na wawekezaji, ndani na nje .... wakitaka kujiridhisha iwapo nitavijaza viatu alivyoniachia Rais wetu mpendwa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na mkutano katikati ya mwezi huu huko Makao makuu ya ITU Nchini Uswizi , Moja ya mada itakayojadiliwa kwenye kikao hicho Ni Masuala ya Mtoto na Mtandao – Usalama Wake , Hii haiwezi kupita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Every so often, many NGOs are on the look out for invitation for proposals from Donors who are keen on funding programmes that fall in line with their missions in Tanzania, or their lack of it...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu tanzania tumekuwa kama wakiwa,tuna watawala hatuna viongozi. Hawasikii hawaambiliki.nasikia viongozi wa dini wana kikao na serikali sasa nawaomba wakae na rais [najua hawamwogopi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya asbh wana JF. Binafsi naona thread za Bifu zinatupotezea muda sana. Unajua watu wengine hatuna interest za TID wala Hashim na U super star wao its none of our business, sasa watu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
TUKIO la dereva teksi kufia kwenye Kituo cha Polisi cha Chang'ombe jijini Dar es Salaam limeingia sura mpya baada ya taarifa iliyoko kwenye kibali cha mazishi kilichotolewa na Idara ya Msajili wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Majeneza ya watoto watatu Noel, Rose na Anthony Thadeo Kihanda yakionekana katika ibada ya mazishi nyumbani kwao eneo la Kariwa kata ya Longuo B Manispaa Moshi mkoani Kilimanjaro jana.(Picha na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hoseah. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imesema kuwa inatambua kuwepo kwa vitendo vya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu; nimekuwa na pilika za hapa na pale na nilimiss zoezi la kwanza huko Dar; Wakati fulani niliambiwa kuwa muda umeongezwa; Je bado zoezi linaendelea ama nianze taratibu za kujiandikisha...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Siku ya malaria duniani pamoja na changamoto na mipango endelevu ni kuhakikisha kuwa vyandarua vinasambazwa kwa wingi ili kutokomeza malaria ifikapo mwaka 2013. Lakini wazungumzaji hakuna mahali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo amemwapisha Jaji Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Uongozi na wajumbe wa tume hiyo katika sherehe zilizofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Rais Kikwete akutana na UNDP Administrator Bibi Helen Clark Ikulu jijini Dar es salaam Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na UNDP Administrator Bibi Heken Clark ikulu jijini Dar...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Traffic mmoja akiwa na wenzake wameambulia kichapo baada ya askari mmoja kusimamisha basi na kuamuru abiria wote washuke huku akichukua funguo za gari na kuelekea sehemu wanazobana kwa kupeana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hii si tu kwa wachezaji weusi bali weusi kwa jumla jamani mliokimbilia huko kwa watu si haba kila sehemu riziki nasema hivi sio ku nadi ma dada zetu hapana nasema jamani wazuri wapo afrika kabla...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu wanajamii Naomba kujua mwenye details za maelezo ya TUCTA kama zilivyotolewa katika taarifa ya habari juzi na Channel Ten usiku. Nazitafuta lakini sijafanikiwa kuzipata. Nimedokezwa tu kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wafanyakazi wamejenga hoja kadha wa kadha za kudai maslahi zaidi ambayo wanaamini kuwa zikiangaliwa kwa ukaribu, zina mantiki na kuwa serikali ina uwezo wa kuzishughulikia na kutimiza. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom