PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,755
Mkurugenzi Mtendaji wa Makumbusho ya Taifa, Dr Norbert Kayombo amefariki dunia hapo jana jioni jijini Dar.
Taarifa zinasema mazishi yake yatafanyika kesho 02/12/2010 jijini Dar.
Dr.Kayombo alikuwa mweledi wa Sayansi za majini(Marine Science), na kwa siku za mwishoni alikuwa mmojawapo kwenye jopo la watu waliopewa jukumu la kuandaa mpango-mkakati wa kurejesha Tanzania mifupa(skeleton) ya mnyama wa kale (dinasours) iliyoko kwenye jumba la makumbusho huko Berlin-Ujerumani.
Mungu ailaze pema roho ya Marehemu.
Taarifa zinasema mazishi yake yatafanyika kesho 02/12/2010 jijini Dar.
Dr.Kayombo alikuwa mweledi wa Sayansi za majini(Marine Science), na kwa siku za mwishoni alikuwa mmojawapo kwenye jopo la watu waliopewa jukumu la kuandaa mpango-mkakati wa kurejesha Tanzania mifupa(skeleton) ya mnyama wa kale (dinasours) iliyoko kwenye jumba la makumbusho huko Berlin-Ujerumani.
Mungu ailaze pema roho ya Marehemu.