Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 609
Inna Lilah Waina Ilaihi Rajiun, aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania, Mzee Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi, amefiwa na mwana wa kwanza kipenzi Dk. Suleiman Aboud Jumbe Mwinyi. Dk. Suleiman amefariki ghafla hotelini nchini India alikokwenda kumsindikiza baba yake kwa matibabu.