Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
leo tena mtangazaji wa kipindi cha magazeti tbc 1 anajifanya hajui kusoma aliposhika mwananchi.anasoma utadhani porn star kabugia mpododo.unajua mwananchi habari kuu ni prof.shivji aponda baraza la jk kuwa ni la kulipana fadhila.anasoma ugoro eee,mhh kuhusu baraza la mawaziri...anafunga.mjinga huyu anadhani tunaangalia mzoga huo wa tbc? Pekee! Mwambieni star tv wanasoma hadi mwanahalisi