Husiwaamini hao,ndo wslikuambia tarehe 15 ambayo ndo leo wanajaza maji bwawa leo wanaibuka na crane haipo.January kasema yapo na yeye ndo Serikali.
Husiwaamini hao,ndo wslikuambia tarehe 15 ambayo ndo leo wanajaza maji bwawa leo wanaibuka na crane haipo.January kasema yapo na yeye ndo Serikali.
😵😵😵😵Husiwaamini hao,ndo wslikuambia tarehe 15 ambayo ndo leo wanajaza maji bwawa leo wanaibuka na crane haipo.
Hahahaaaa.......!Husiwaamini hao,ndo wslikuambia tarehe 15 ambayo ndo leo wanajaza maji bwawa leo wanaibuka na crane haipo.
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.
Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.
Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Serikali hiyo hiyo ndio ilisema leo tarehe 15 november 2021 wataanza kujaza bwawa la maji la SG. Lakini kwa sasa kichekesho kiko kwenye hatua ya kuagiza winch! Serikali hii hii ndio ilisema Nov 2019 reli kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi, badala yake tunaona kombati za jeshi tu kuvaliwa na mama wa kambo. 2014 Muhongo akiwa waziri alisema ikifika 2020 Tanzania itakuwa inauza umeme nje ya nchi, ajabu ni kuwa wauzaji umeme hata umeme hatuna hadi muda huu!January kasema yapo na yeye ndo Serikali.
Ndio tuseme na usafiri wa umma na binafsi nao utasimama?
Wafanyakazi maofisini na wanafunzi mashuleni wataendaje?
Au serikali itoe likizo ya muda mfupi kwa wote mpaka pale mafuta yatakaporejea?
Haya mambo ya ajabu ajabu huanza pale ambapo taifa linakuwa na kiongozi toka ukanda wa Pwani, bahati mbaya na waziri husika nae ana tabia za kijanja janja tu.
Mafuta yakiwa machache maana yake kuna uwezekano mkubwa yakapanda bei, yakipanda bei na nauli zitaongezeka, gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku mtanzania masikini anazidi kuisoma namba.
Alivaa Magufuli hamkusema kavaa Samia ni keleleTuko busy kuvaa combat za Jeshi, haya hayatuhusu.
Weweeeee, sisi hatumuamini huyo jamaa yako. Tunamwamimi mteule tu! Akisema hakuna uhaba wa mafuta maana yake hakuna uhaba wa mafuta. Na asipoangalia huyo jamaa yako naye tutamwita ajieleze! Alaaaaa!?Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.
Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.
Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Mbona alitwambia maji yanafunguliwa kwenye mabwawa ndo maana ulikuwa unakatika kipindi chake!!? Au umesahauMagufuli alipokuwa akinyoosha mambo mlikuwa kutwa nzima mkimtukana
Leo mambo yameanza kwenda mrama mnaanza kulialia
Leo January Makamba anatwambia mgao wa umeme, Dawasa nao wanasema mgao wa maji, EWURA nao mafuta hakuna
Hapa kuna harufu ya hujuma kubwa tu
Tutamkumbuka sana Jemedari wetu Magufuli, chini yake kulikuwa hakuna hujuma wala mpuuzi atakayethubutu kuleta upuuzi wa hujuma
Wakati wa nyerere mafuta yalikua yanakosekana Sana,ni mwinyi toka pwani ndiye alyekomesha tatizo hiloNdio tuseme na usafiri wa umma na binafsi nao utasimama?
Wafanyakazi maofisini na wanafunzi mashuleni wataendaje?
Au serikali itoe likizo ya muda mfupi kwa wote mpaka pale mafuta yatakaporejea?
Haya mambo ya ajabu ajabu huanza pale ambapo taifa linakuwa na kiongozi toka ukanda wa Pwani, bahati mbaya na waziri husika nae ana tabia za kijanja janja tu.
Mafuta yakiwa machache maana yake kuna uwezekano mkubwa yakapanda bei, yakipanda bei na nauli zitaongezeka, gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku mtanzania masikini anazidi kuisoma namba.
Unaongelea wiki ijayo? Sasa hivi Kuna vituo kibao havina mafuta wafanyakazi wako nyumbani hawana kazi mleta mada muongoNgoja tusubiri hiyo wiki ijayo.
Muongo wewe mafuta labda yako huko deep see vituo kibao Dar havina mafutaRafiki yako ni muongo na mzushi kabisa, mdogo wangu yupo deep sea ndio wanadeal na meli za mafuta hakuna kitu kama hicho.
Sio uzushi wa wiki ijayo leo hii vituo kibao mitaani havina mafuta dar es salaamYawezekana uzushi huu ni mbinu ya wafanyabiashara wa mafuta ili wauze stock fasta maana wanajua bei ya mafuta kuanzia Dec itashuka Sana.