The Tanzania Petroleum Development Corporation (Swahili: Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania) is the national oil company of Tanzania and owner of all licenses for energy development in the country. The company was established through the Government Notice No.140 of 30 May 1969 under the Public Corporations Act No.17 of 1969. The Corporation began operations in 1973. It is a wholly owned Government parastatal, with all its shares held by the Treasurer Registrar. In the summer of 2015, the Parliament of Tanzania passed three legislative Acts dealing with energy and directly impacting the company: the Petroleum Act 2015, the Tanzania Extractive Industry (Transparency and Accountability) Act 2015, and the Oil and Gas Revenues Management Act 2015.According to The Economist, "Estimates put the country’s reserves at a little over 50 trillion cubic feet of gas, a figure the government thinks may double as additional exploration wells are drilled, making them potentially a considerable potential source of revenue."
Leo Serikali Kupitia TPDC imeita waandishi na wahariri wa Habari mbalimbali na kutaka kufafanua juu yaadai yaliyotolewa na ACT Wazalendo kuhusiania na kashfa ya uagizaji Mafuta.
Nimesikiliza hotuba Yao na kurejea maswali ya ACT kiukweli bado ufafanuzi inahitajika
Nakuwekea maswali ya ACT hapa...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo...
Wanabodi,
Jumapili ya leo, niko hapa ukumbi wa hotel ya Peackock jijini Dar es Salaam, kuwaripotia live, Kikao Kazi Kati ya Wizara ya Nishati, TBPA, TPDC na Jukwaa la Wahariri, TEF, Kujadili Sekta ya Mafuta na Gesi nchini Tanzania.
Karibuni kupitia Mwanahalisi...
"Wakati Serikali ikijitetea kuifanya TPDC kuwa muagizaji pekee wa mafuta kwa kigezo cha kwamba itapunguza bei ya mafuta nchini, viwango vya faida (premium) vilivyowekwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kwa miezi ya Mei na Juni baada ya mfumo wa ushindani kufutwa, viko juu zaidi...
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema kuwa Serikali imezitaka mamlaka za TPDC, PBPA na EWURA kuhakikisha kuwa punguzo la bei ya mafuta katika soko la dunia linaanza kuonekana kwa wananchi nchini kuanzia mwezi ujao.
Agizo hili linakuja kufuatia kuanza kushuka kwa bei ya mafuta ghafi...
Siwezi shangaa maana kwa utawala huu wanaimba na kuabudu walicho ambiwa na mtawala.
Sasa kuna nguvu kubwa sana ya matepeli na inaonesha wale wale mlio mleta na ndege yenu.
Hawa ni kutoka kule na siwezi kuonesha IP ila inatoka mlipo mleta na ndege yenu kuwa urafiki mzuri.
Kama nchi ilikua na akiba ya kutosha ya mafuta inakua vip bei inapandishwa ghafla ina maana stock iliyokuepo imeisha ? au wameamua kupandisha bei ya mafuta kwa kutazama soko la Dunia wakati nchini tuna reserve ya kutosha kwa bei ya zamani!!
Ikiwa nchi ilikua na akiba ya kutosha tulitegemea bei...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amepongeza Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa ujenzi wa shule bora ya Awali na Msingi katika Kijiji cha Likong'o mkoani Lindi inayojengwa kupitia mradi wa uzalishaji na usindikaji wa...
Mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Paul Makanza, ameongoza ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa kituo mama cha ujazaji gesi asilia kilichopo Mlimani, Dar es Salaam, ambapo ameeleza kuridhishwa na hatua iliyofikiwa.
Akizungumza leo Jumatatu, Machi...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuvutia wawekezaji katika tafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi nchini ili watanzania wanufaike na rasilimali zilizopo.
Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 10, 2024 wakati wa Hafla ya makabidhiano ya leseni...
ADVERTISED
TENDER NO ISP-DRM-NRG/TZ/AfDB/G17/NCB/2024
FOR
SUPPLY AND INSTALLATION OF INTEGRATED OIL AND GAS PRODUCTION
MODELLING SOFTWARE
INVITATION FOR TENDERS
This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice (GPN) for this project that appeared in UNDB online: dated 30th...
Soma hapa:
TPDC surveying LPG piping viability in Dar es Salaam
By Francis Kajubi , The Guardian
Published at 09:14 AM Apr 05 2024
TANZANIA Petroleum Development Corporation (TPDC) in collaboration with TAQA Dalbit Tanzania Limited is conducting a survey on the actual demand for liquefied...
WABUNGE WATAKA DENI LA TPDC LILIPWE
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Dunstan Kitandula akiwasilisha bungeni maoni ya kamati hiyo kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo Jumatatu Mei 31, 2023.
Wabunge wataka...
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini imeitaka Serikali kulipa deni la Sh720 bilioni mauzo ya gesi kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwenda Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ambalo linaendelea kukuwa.
Hayo yamesemwa leo Mei 31, 2023 na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya...
Serikali Kupitia Rais imepambana sana kuhakikisha miradi mikubwa inafunguka kwa ajili ya kunufaisha Watanzania wote.
kwanini Mataragio na Genge lako hapo TPDC mnakwamisha mradi wa Gesi asilia? Mnazuia vibali vya makampuni kufungua vituo vya kujaza Gesi kwenye magari kwa maelekezo ya nani? Hata...
Nimeyazungumzia haya mashirika mawili yanayohusika na uendelezaji wa mafuta na gesi Tanzania.
Tunaomba tubadilishie wakurugenzi wa hayo mashirika tuone mabadiliko katika sekta ya mafuta na gesi.
Wakurugenzi wanakaa kwa muda mrefu sana, hapo inaweza kuwa ngumu kuona mabadiliko.
Zoezi la...
DENI LA TPDC
Huu ni mkopo wa shirika kupitia hazina kutoka EXIM BANK CHINA kwaajili ya mradi wa gesi wa mtwara na songo songo kuja Dar lakini ilipofika DAR badala ya kumalizia usambazaji wa gesi kwa watumiaji ili wapate hela waanze kulipa deni wamebadili mradi sasa wanazungumzia LNG !! Laini...
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema limeandaa mpango maalumu wa kuanza kusambaza nishati ya gesi asilia kupitia mabomba makubwa kwa lengo la kuwafikia wateja wengi katika mikoa mbalimbali nchini.
Mtaalamu wa idara ya mafuta na gesi kutoka TPDC, Mhandisi Eva Swilla amesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.