Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Kampuni ya simu ya Halotel ni ya January Makamba na JK . Kampuni hii hailipi kodi na imewekeza minara yao kwenye maeneo ya taasisi za serikalu mfano shule za serikali, bure na hawalipi kodi ya pango popote waliopoweka minara. Wizi mkubwa huu
Mmhh
 
Monchwari ndiyo nini? Aliyekuambia inaitwa Monchwari badala ya Mochwari si tu kakupiga Fix, ila pia amekudharau mno na kukuona ni Mpumbavu Mkomavu dunia nzima.
Hakuna chumba cha kuhifadhia maiti Mzena memorial hospital.

Umedanganywa na hujui kitu.
 
Hizi ni siasa za Sukuma Gang dhidi ya Makamba! Hakuna jipya!

Kuna mpuuzi kaanzisha uzi eti Makamba kasema Bungeni Bwawa la Nyerere halitajazwa maji wakati Makamba yuko Misri ya Mama Samia. Sasa sijui Misri kuna Bunge la Tanzania?
Sukuma Gang wakisikia jina Makamba mashuzi yanawajaa
 
Hizi ni siasa za Sukuma Gang dhidi ya Makamba! Hakuna jipya!

Kuna mpuuzi kaanzisha uzi eti Makamba kasema Bungeni Bwawa la Nyerere halitajazwa maji wakati Makamba yuko Misri ya Mama Samia. Sasa sijui Misri kuna Bunge la Tanzania?
Vipi naona hatimaye limejazwa eeee..
 
Back
Top Bottom