Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Muongo wewe mafuta labda yako huko deep see vituo kibao Dar havina mafuta
Mimi nimeweka mafuta leo kwenye mkweche wangu.

Msiwaletee watu hofu isiyokuwepo, yule shetani mungu wenu ameshakufa na yupo kuzima, hawezi kurudi, kubalini matokeo tu.

FB_IMG_1636980250441.jpg
 
Mimi nimeweka mafuta leo kwenye mkweche wangu.

Msiwaletee watu hofu isiyokuwepo, yule shetani mungu wenu ameshakufa na yupo kuzima, hawezi kurudi, kubalini matokeo tu.

View attachment 2012125
Sio hofu tafadhali ukosefu wa mafuta vituoni sio Siri mwenye haambiwi tazama

Umtie hofu Nani wakati ukienda vituo vya mafuta uswahini Dar hawana mafuta

Kukosekana mafuta vitioni vya uswahilini sio Siri tafadhali na sababu unapewa
 
Serikali hiyo hiyo ndio ilisema leo tarehe 15 november 2021 wataanza kujaza bwawa la maji la SG. Lakini kwa sasa kichekesho kiko kwenye hatua ya kuagiza winch! Serikali hii hii ndio ilisema Nov 2019 reli kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi, badala yake tunaona kombati za jeshi tu kuvaliwa na mama wa kambo. 2014 Muhongo akiwa waziri alisema ikifika 2020 Tanzania itakuwa inauza umeme nje ya nchi, ajabu ni kuwa wauzaji umeme hata umeme hatuna hadi muda huu!
Tanzania inchi pekeee ina ongoza kwa Drama na hasa wanatoka ccm
 
Sio hofu tafadhali ukosefu wa mafuta vituoni sio Siri mwenye haambiwi tazama

Umtie hofu Nani wakati ukienda vituo vya mafuta uswahini Dar hawana mafuta

Kukosekana mafuta vitioni vya uswahilini sio Siri tafadhali na sababu unapewa
Hao watakuwa ni wapiga dili tu.
 
Waziri hapaswi kudanganya!
Mbona kuna Mwingine aliwatangazia Watanzania kuwa Mtu fulani hajafa, yupo hai na katoka Kuzungumza nae na kututaka tuendelee Kuchapa Kazi wakati kumbe muda mrefu alikuwa tayari ameshayaanza Maisha yake mapya katika Friji za Mzena Hospital kabla ya kuhamishiwa za Lugalo Hospital mkabala na Chuo chao cha Tiba cha MCMS?
 
Ndio tuseme na usafiri wa umma na binafsi nao utasimama?

Wafanyakazi maofisini na wanafunzi mashuleni wataendaje?

Au serikali itoe likizo ya muda mfupi kwa wote mpaka pale mafuta yatakaporejea?

Haya mambo ya ajabu ajabu huanza pale ambapo taifa linakuwa na kiongozi toka ukanda wa Pwani, bahati mbaya na waziri husika nae ana tabia za kijanja janja tu.

Mafuta yakiwa machache maana yake kuna uwezekano mkubwa yakapanda bei, yakipanda bei na nauli zitaongezeka, gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku mtanzania masikini anazidi kuisoma namba.
Acha ubaguzi wew ukanda wa pwani unahusikaje hapo acha longo longo😅😅
 
Ni aina hii ya michango na uongo wa kitoto ndio kidogo imletee shida mkrugenzi wa TPDC.

Alichoelezea mkurugenzi ata kwa kusoma nakala ya gazeti la Nipashe na tafsiri ya jamii ni vitu viwili tofauti.

Waziri pamoja na yeye kuingia mkenge kupitia michango potofu kwenye kujitetea alitoa maelezo ya kutosha kuhusu usalama wa inventory za mafuta kwa sasa na siku zijazo.

Utoto mwingi sana nchi hii tunahitaji kichaa mwingine wa kuondoa fikra za ovyo.

Raisi nae eti anazungumza anafungua nchi kibiashara ni lini ilifungwa kwa data zipi, yote hayo upuuzi wanasiasa wanao okota mitandaoni.

Na ndio mambo haya haya Rugemalila kakaa jela miaka minne.
 
Kuna wakati tulikuwa tunajivuna tuna pesa za miezi 6 .... .... naona vimburu vimeingia kazini. Aibu!
 
TPDC si wamesema wataagiza wenyewe?au wamegomewa huko wanakotakiwa kununua?
 
Ngoja tuone kama upo sawa maana na Sisi wenye masheli yetu tunataka mmalizie stock yetu chap chap kabla hakujabadilika.

Tutafanya lolote hii stock itoke tusiingie hasara.
 
Nchi fix sana hii....nikikumbuka kuna mwamba ashawahi kukaa masjid na kutufix kuwa jamaa ake bado yuko hai.....
 
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Huyu Suzy Elias amekuja RASMI kupambana na Januari Makamba na siyo kutoa michango chanya kwenye JUKWAA. Maana akaunti yake Haina hata one month, yeye na Makamba, umeme, gas na Leo mafuta.

Nahesabu one week kuanzia Leo, kweli tikikosa mafuta Nita " left" JF voluntarily
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom