Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Huenda Dk James Mataragio ambaye ni mkurugenzi mkuu wa TPDC akafutwa kazi kwa kile kilichosemwa na Makamba ni kuupotosha umma.

James, hivi karibuni alinukuliwa akisema endapo meli ya mafuta isipotia nanga ndani ya wiki mbili Nchi itashuhudia uhaba mkubwa wa mafuta jambo ambalo limeonekana kumkwaza Makamba.
Kama meli inayoshusha diesel lita milion 60 na kufanya reserve ifikie lita milioni 150 zinazotosha kwa siku 24 tu sasa Mataragio alikosea nini kusema kuwa mafuta iliyopo inatosha kwa siku 15 tu iwapo hakuhusisha shehena ambayo kwa wakati haikuwa imefika?? Binafsi alikuwa sahihi. Hata kwa sasa waziri anajitapa eti tunashehena inayoweza kutupeleka mpaka siku 24. Aibu sana mi nilidhani angejivuna iwapo shehena iliyopo yaweza kutupeleka hadi miezi mitatu mpaka sita.
 
Dawa yao tesla tu
Tesla ni dawa, lakini uwezo wa kuinunua ndiyo changamoto. Pamoja na gari za umeme kuwa jibu, bei zake ni juu mno, na pia hawajaweza kutengeneza gari zenye mvuto na nguivu kama za mafuta. Toyota wametengeneza gari za umeme sasa miaka kumi lakini hadi sasa ni chache tu barabarani kwa sababu ya bei kubwa na mvuto finyu na nguvu kidogo(Horse Power) kama gari za petroli/diseli.
 
Tesla ni dawa, lakini uwezo wa kuinunua ndiyo changamoto. Pamoja na gari za umeme kuwa jibu, bei zake ni juu mno, na pia hawajaweza kutengeneza gari zenye mvuto na nguivu kama za mafuta. Toyota wametengeneza gari za umeme sasa miaka kumi lakini hadi sasa ni chache tu barabarani kwa sababu ya bei kubwa na mvuto finyu na nguvu kidogo(Horse Power) kama gari za petroli/diseli.
Yap,
Ni sawa ila hakuna njia dawa ni umeme tu
 
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
 
Ndio tuseme na usafiri wa umma na binafsi nao utasimama?

Wafanyakazi maofisini na wanafunzi mashuleni wataendaje?

Au serikali itoe likizo ya muda mfupi kwa wote mpaka pale mafuta yatakaporejea?

Haya mambo ya ajabu ajabu huanza pale ambapo taifa linakuwa na kiongozi toka ukanda wa Pwani, bahati mbaya na waziri husika nae ana tabia za kijanja janja tu.

Mafuta yakiwa machache maana yake kuna uwezekano mkubwa yakapanda bei, yakipanda bei na nauli zitaongezeka, gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku mtanzania masikini anazidi kuisoma namba.
 
Ndio tuseme na usafiri wa umma na binafsi nao utasimama?

Wafanyakazi maofisini na wanafunzi mashuleni wataendaje?

Au serikali itoe likizo ya muda mfupi kwa wote mpaka pale mafuta yatakaporejea?

Haya mambo ya ajabu ajabu huanza pale ambapo taifa linakuwa na kiongozi toka ukanda wa Pwani, bahati mbaya na waziri husika nae ana tabia za kijanja janja tu.

Mafuta yakiwa machache maana yake kuna uwezekano mkubwa yakapanda bei, yakipanda bei na nauli zitaongezeka, gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku
Taifa la wanyonge
 
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Ngoja tusubiri hiyo wiki ijayo.
 
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Utakamatwa wewe shauri yako wenyewe hawapendi ukweli
 
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Mambo ni hayo mzee


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 2787328-2882769f33145d79aa5bd9784a00dd67.mp4
    2.9 MB
  • 2787328-2882769f33145d79aa5bd9784a00dd67.mp4
    2.9 MB
Hizi story za jamaa yako hizo ngoja tusubiri hadi next week. La sivyo tunamfungulia kesi ya kutaka kuleta taharuki katika jamii na wewe utaisaidia jamhuri katika hii case.
 
Mataragio Kasema Mafuta Yapo Mengi Sasa Ikiwa Kama Kaudanganya Umma Ajipange
 
Back
Top Bottom