Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

Nataka kusikia ni kosa gani marehemu aliwafanyia wakaona adhabu inayofaa ni kukata kichwa taratibutaratibu.
Unaweza ukakuta Anna Frank Lema maarufu "Happiness" ndiyo akawa kiini cha hilo tukio. Halafu mjukuu wangu nina swali!

Mbona wahusika wa tukio la MC Pilipili mpaka leo hatujasikia wakishikiliwa? Uchunguzi gani unachukua muda mrefu kiasi hiki? Tuliambiwa wahusika walimpigia marehemu simu ili atoke Dar kwenda Dodoma! Je, alipofikia hapajulikani? Na vipi kuhusu wale jamaa waliompigia simu ndugu/jamaa yake marehemu ili kukutana na kumkabidhi ndugu yao akiwa kwenye hali mbaya baada ya kumshughulikia ipasavyo? Sasa hapo si ni rahisi kuangalia mawasiliano aliyofanya marehemu na yule ndugu yake, na hao wauaji!

Sasa mbona mchakato haueleweki? Natambua wewe ni mtaalam wa haya mambo. Hebu ingia chimbo unipatie majibu.
 
Kigogo hapo kuna watu wamevurugwa sana
Miaka kama 2 au 3...nilipokonywa mkoba una hela ndefu, hapo hapo kigogo sambusa, mbona nilimkimbiza huyo kibaka hadi huko kwao shimoni, wakaka wakanisaidia kumdunda akaonesha alipourusha kwenye pagala!

Hilo likibaka linaitwa Dudu, kama kuna mtu anaishi hiyo mitaa atakuwa analijua
 
Wakaanga sumu noma sana
Duh kuna watu wachawi kutwa kucha
 
Kwahiyo mkuu unashauri aliyeongea na marehemu au aliyekuwa na marehemu kwa mara ya mwisho wasiguswe?
Hapana sijasema wasiguswe, lakini kwa vyombo vyetu vya dola jinsi vilivyo huwa wana ku pressure na wana ku treat as if wewe ndiye muhusika mwenyewe hali ya kuwa ni mtuhumiwa. Jaribu kufuatilia hata kesi za nje ya nchi ambapo vyombo vyao vina weledi, kama ni mtuhumiwa utaitwa kwenye mahojiano, wataanza kukufuatilia miendendo yako n.k.. unakuwa under surveillance.

Huku kwetu hata ukiokota simu , halafu ikawa na kesi labda mmiliki aliuawa, aisee utajuta, unaweza kukiri wewe ndiye ulimuua huyo aliye fariki. Kwanza kuigwa ni kawaida.

Mambo ya jabu ajabu sana. Tafuta lile tukio la kulipuliwa kwa ubalozi wa US nchini Tanzania , askari walikuwa wanakamata watu hovyo, walikamata hadi walevi na wale watukutu mtaani kwamba ndio magaidi wali lipua ubalozi wa US.

FBI walipofika wakasema hawaoni gaidi hata mmoja na wakawashauri wasiwe wanashtumu watu hovyo pasipo kujiridhisha...

Soma hii... kuhusu shambulizi la kigaidi ubalozi wa US nchini Tanzania

“Baada ya Ubalozi kulipuliwa sisi polisi tulifanya kazi moja tu. Hatukufanya uchunguzi, ila hatua ya kwanza ilikuwa ni kukamata kila aliyekuwa jirani na Ubalozi, aliyepita au tuliyemwona anapepesa macho. Baada ya siku tatu mahabusu za Central Polisi, Oysterbay na Salender zote zilijaa watuhumiwa. Ilikuwa hawana hata mahala pa kukanyaga, maana tulikuwa tunakamata kila tuliyemshuku.

“Baadaye walikuja askari wa FBI kutoka Marekani. Wakasema mbona mmekamata watu wengi hivi? Tukawaambia tunawashuku. Wakasema hapana. Haki za binadamu haziendi hivyo. Hapaswi kukamatwa mtu kwa kumshuku, bali mtu anakamatwa baada ya kufanya uchunguzi na kupata ushahidi usiotiliwa shaka. Tukawauliza sasa tufanyeje?

“Wale FBI walisema leteni meza hapa nje. Tukapeleka meza. Wakasema waiteni wote wanaotuhumiwa mliowakamata kisha apite mmoja mmoja tutawaambia nani ni gaidi au ameshiriki kulipua ubalozi. Tukaweka meza, tukawaita watuhumiwa wakapita mmoja baada ya mwingine. Walikuwa wengi kweli. FBI baada ya zoezi lile wakasema waachieni wote hawa hakuna mtuhumiwa hata mmoja. Tukawauliza, tukiwaachia tutaanzia wapi upelelezi? Wakatwambia waachieni tu, tutazungumza. Tukawaachia.

“Tulipoingia kwenye kikao, wakasema wale wote mliowakamata hawajui lolote katika tukio la kulipua Ubalozi. Wakatuuliza tunaweza kupata askari anayelifahamu vizuri Jiji la Dar es Salaam? Tukawaambia ndiyo. Wakasema mleteni. Akaletwa (jina linahifadhiwa) kutoka makao makuu. Wakamuuliza unafahamu eneo linaloitwa Kimara? Akasema ndiyo. Wakasema tupeleke.....
 
Hapana sijasema wasiguswe, lakini kwa vyombo vyetu vya dola jinsi vilivyo huwa wana ku pressure na wana ku treat as if wewe ndiye muhusika mwenyewe hali ya kuwa ni mtuhumiwa. Jaribu kufuatilia hata kesi za nje ya nchi ambapo vyombo vyao vina weledi, kama ni mtuhumiwa utaitwa kwenye mahojiano, wataanza kukufuatilia miendendo yako n.k.. unakuwa under surveillance.

Huku kwetu hata ukiokota simu , halafu ikawa na kesi labda mmiliki aliuawa, aisee utajuta, unaweza kukiri wewe ndiye ulimuua huyo aliye fariki. Kwanza kuigwa ni kawaida.

Mambo ya jabu ajabu sana. Tafuta lile tukio la kulipuliwa kwa ubalozi wa US nchini Tanzania , askari walikuwa wanakamata watu hovyo, walikamata hadi walevi na wale watukutu mtaani kwamba ndio magaidi wali lipua ubalozi wa US.

FBI walipofika wakasema hawaoni gaidi hata mmoja na wakawashauri wasiwe wanashtumu watu hovyo pasipo kujiridhisha...

Soma hii... kuhusu shambulizi la kigaidi ubalozi wa US nchini Tanzania

“Baada ya Ubalozi kulipuliwa sisi polisi tulifanya kazi moja tu. Hatukufanya uchunguzi, ila hatua ya kwanza ilikuwa ni kukamata kila aliyekuwa jirani na Ubalozi, aliyepita au tuliyemwona anapepesa macho. Baada ya siku tatu mahabusu za Central Polisi, Oysterbay na Salender zote zilijaa watuhumiwa. Ilikuwa hawana hata mahala pa kukanyaga, maana tulikuwa tunakamata kila tuliyemshuku.

“Baadaye walikuja askari wa FBI kutoka Marekani. Wakasema mbona mmekamata watu wengi hivi? Tukawaambia tunawashuku. Wakasema hapana. Haki za binadamu haziendi hivyo. Hapaswi kukamatwa mtu kwa kumshuku, bali mtu anakamatwa baada ya kufanya uchunguzi na kupata ushahidi usiotiliwa shaka. Tukawauliza sasa tufanyeje?

“Wale FBI walisema leteni meza hapa nje. Tukapeleka meza. Wakasema waiteni wote wanaotuhumiwa mliowakamata kisha apite mmoja mmoja tutawaambia nani ni gaidi au ameshiriki kulipua ubalozi. Tukaweka meza, tukawaita watuhumiwa wakapita mmoja baada ya mwingine. Walikuwa wengi kweli. FBI baada ya zoezi lile wakasema waachieni wote hawa hakuna mtuhumiwa hata mmoja. Tukawauliza, tukiwaachia tutaanzia wapi upelelezi? Wakatwambia waachieni tu, tutazungumza. Tukawaachia.

“Tulipoingia kwenye kikao, wakasema wale wote mliowakamata hawajui lolote katika tukio la kulipua Ubalozi. Wakatuuliza tunaweza kupata askari anayelifahamu vizuri Jiji la Dar es Salaam? Tukawaambia ndiyo. Wakasema mleteni. Akaletwa (jina linahifadhiwa) kutoka makao makuu. Wakamuuliza unafahamu eneo linaloitwa Kimara? Akasema ndiyo. Wakasema tupeleke.....
Daaah malizia mkuu asee!
 
Miaka kama 2 au 3...nilipokonywa mkoba una hela ndefu, hapo hapo kigogo sambusa, mbona nilimkimbiza huyo kibaka hadi huko kwao shimoni, wakaka wakanisaidia kumdunda akaonesha alipourusha kwenye pagala!

Hilo likibaka linaitwa Dudu, kama kuna mtu anaishi hiyo mitaa atakuwa analijua
Mitaa michafu sana ilee, polee
 
Kuna umuhimu mkubwa sana wa adhabu ya kunyonga watu kwenye jamii ambazo bado hazijastaharabika kama jamii yetu ya Tanzania na jamii nyingi za Afrika.

Kujifanya hatutaki kuridhia adhabu ya kunyongwa hadi kufa, kutawafanya watu waone kuua ni jambo la kawaida kwakuwa wataishia kufungwa maisha tu.

Viongozi waache unafiki wa kujifanya hawataki kuridhia hii adhabu, eti watakuwa wameshiriki kutoa uhai.
 
Hapana sijasema wasiguswe, lakini kwa vyombo vyetu vya dola jinsi vilivyo huwa wana ku pressure na wana ku treat as if wewe ndiye muhusika mwenyewe hali ya kuwa ni mtuhumiwa. Jaribu kufuatilia hata kesi za nje ya nchi ambapo vyombo vyao vina weledi, kama ni mtuhumiwa utaitwa kwenye mahojiano, wataanza kukufuatilia miendendo yako n.k.. unakuwa under surveillance.

Huku kwetu hata ukiokota simu , halafu ikawa na kesi labda mmiliki aliuawa, aisee utajuta, unaweza kukiri wewe ndiye ulimuua huyo aliye fariki. Kwanza kuigwa ni kawaida.

Mambo ya jabu ajabu sana. Tafuta lile tukio la kulipuliwa kwa ubalozi wa US nchini Tanzania , askari walikuwa wanakamata watu hovyo, walikamata hadi walevi na wale watukutu mtaani kwamba ndio magaidi wali lipua ubalozi wa US.

FBI walipofika wakasema hawaoni gaidi hata mmoja na wakawashauri wasiwe wanashtumu watu hovyo pasipo kujiridhisha...

Soma hii... kuhusu shambulizi la kigaidi ubalozi wa US nchini Tanzania

“Baada ya Ubalozi kulipuliwa sisi polisi tulifanya kazi moja tu. Hatukufanya uchunguzi, ila hatua ya kwanza ilikuwa ni kukamata kila aliyekuwa jirani na Ubalozi, aliyepita au tuliyemwona anapepesa macho. Baada ya siku tatu mahabusu za Central Polisi, Oysterbay na Salender zote zilijaa watuhumiwa. Ilikuwa hawana hata mahala pa kukanyaga, maana tulikuwa tunakamata kila tuliyemshuku.

“Baadaye walikuja askari wa FBI kutoka Marekani. Wakasema mbona mmekamata watu wengi hivi? Tukawaambia tunawashuku. Wakasema hapana. Haki za binadamu haziendi hivyo. Hapaswi kukamatwa mtu kwa kumshuku, bali mtu anakamatwa baada ya kufanya uchunguzi na kupata ushahidi usiotiliwa shaka. Tukawauliza sasa tufanyeje?

“Wale FBI walisema leteni meza hapa nje. Tukapeleka meza. Wakasema waiteni wote wanaotuhumiwa mliowakamata kisha apite mmoja mmoja tutawaambia nani ni gaidi au ameshiriki kulipua ubalozi. Tukaweka meza, tukawaita watuhumiwa wakapita mmoja baada ya mwingine. Walikuwa wengi kweli. FBI baada ya zoezi lile wakasema waachieni wote hawa hakuna mtuhumiwa hata mmoja. Tukawauliza, tukiwaachia tutaanzia wapi upelelezi? Wakatwambia waachieni tu, tutazungumza. Tukawaachia.

“Tulipoingia kwenye kikao, wakasema wale wote mliowakamata hawajui lolote katika tukio la kulipua Ubalozi. Wakatuuliza tunaweza kupata askari anayelifahamu vizuri Jiji la Dar es Salaam? Tukawaambia ndiyo. Wakasema mleteni. Akaletwa (jina linahifadhiwa) kutoka makao makuu. Wakamuuliza unafahamu eneo linaloitwa Kimara? Akasema ndiyo. Wakasema tupeleke.....
Mkuu hii story inapatikana wapi!?, ilianza kunoga kama movie..
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya kikatili ya mwanafunzi wa Chuo cha IFM, James Rogers Temba, ambaye mwili wake ulikutwa ukielea kwenye maji ya Mto Msimbazi, eneo la Kipawa Ilala ukiwa hauna kichwa, Aprili 30, 2026.

Polisi tayari imewakamata watuhumiwa wanne kuhusiana na tukio hilo, akiwemo Steven Rogers Chaka (31), mkazi wa Bomang’ombe mkoani Kilimanjaro na Afisa Maabara; Anna Frank Lema maarufu kama “Happines” (30), mfanyabiashara mkazi wa Tabata Chang’ombe; Twalibu Khamis maarufu “Mputo” (23) pamoja na Michael John maarufu “Tambali” (26), wote wakazi wa Kigogo Kati.

Pia Soma:
Polisi: Tunachunguza kifo cha mtu ambaye mwili wake ulikutwa unaelea mto Msimbazi
Hapo Mputo atakuwa amehusika pakubwa.
 
Kama una gundu la bundi, siku mbili nyuma kabla ya kukatwa kichwa umewasiliana nae, na ukamuwashia moto, but hauhusiki na kifo chake, mara police wanatrace namba wanaikuta na yako iko juu juu current call...uwiii unaenda kuminywa mbupuu!
Hawafanyi hivyo,nimejifunza mengi kwa kifo cha nyanza yule aliyefukiwa na Dem wake, maana ni mdogo wangu anayenifuatia,polisi hawafanyi,japo wanatrack sana simu tofauti na unavyodhani
 
Jamaa walikata kichwa kumuonesha Tajiri km ushahidi wa KAZI au ,ndio style yao ya mauaji? ama ?
 
Back
Top Bottom