El Mincho
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 2,128
- 4,785
Ni kweli sababu ya kiboya sana. Mie nimesoma Kaskazini huko enzi hizo, wale watu wa kule kwenye pesa na mbunye haswa mke kuua ni kawaida sana. Kibaya zaidi uwa wanawekeza pa kubwa sana kwenye mbunye kama huyo Happiness nimesoma sehemu alikua anauza pharmacy. Sasa mume - maabara, ukute aliwekeza mtaji mzima kumfungulia pharmacy mke huku yeye akiwa Kilimanjaro na marehemu akawa anajipigia tu. Ila mbunye sio ya kumuua hivi binadamu mwenzako, Imeniuma sana hii.Sababu ya kiboya sana kutoa uhai wa mtu let alone kumchinja kabisa.
Kumuacha demu/mke wako ubaya ugumu upo wapi? Kabakwa? Huwa nashindwa kuelewa hizi sababu hizi.