Mapenzi
Marehemu alikua na mahusiano na happiness,ilhali ni mke wa mtu wa huyo jamaa bomangombe.jamaa ni wa bomangombe,bibie anaitwa lema nae wa huko huko.
Labda ni wanandoa waliotengana
Waliotelekeza uchinjaji ni wazee WA kazi Mputo na mwenzie wote wanaishi kigogo kati ukanda wa wahuni na wamejipachika majina ya kazi(kawaida ya vibaka)
Na hukobko wanakoishi kigogo kati unapita mto msimbazi alipookotwa James.
Bibie Inaonyesha alishapokea vitisho lakini akapuuzia,pengine aliambiwa bwanako kashauliwa ila hakuamini,akimpigia James hapatikani(huku familia ya James nayo wanamtafuta hawampati)
Akakumbika nana namba ya mamake James akmpigia kuthibitisha
Huyu dada amerahisiaha ukamataji,Nina hakika alipokamatwa akamtaja huyo jamaa wa Kilimanjaro,nae wa Kilimanjaro akawataja vibaka wake wa kigogo kati.
Nimehisi tu