Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

Sio rahisi hivyo. Huwa wanafuatilia wanaacha namba ambazo wamegundua ni calls za kawaida. Kuna jamaa tulikuwa tunafanya biashara ya aina moja. Mara nyingi huwa tunashare stock ikiisha nachukua kwake na yeye vivyo hivyo. Kumbe nyuma ya pazia anauza mzigo wa Colombia. Wazee wakamfuatiliq mpaka wakamuingiza kingi. Mimi bila kujua nikawa namtafuta sana na kumtumia msg nauliziq mzigo halali simu walasg hazipokelewi baadae simu yake ikawa haipatikani kabisa. Baada ya wiki mbili nikasikia Kala miaka 30 jela kwa kuuza mzigo wa Colombia. Hata mimi nilikuwa under microscope.
Duh kama ni hivyo afadhali sana
 
Kwahiyo nikifanya umafia nitupe baharini simu ya muhusika si ndio? Au wataenda mitandao ya simu kucheck no zangu?
Hahahaaa issue za kipolisi hazitakiwi ziwekwe wazi ili wanaofanya uhalifu waweze kukamatwa ,tukisanua itachukua muda mrefu kukamata wahalifu wakati ni kitu cha siku moja tu unamaliza kazi.
 
Sasa kama ni mapenzi, hawa wengine wameingiaje? Just najiuliza tu

Binafsi nadhani ni mambo ya hela, itakuwa kawapiga hela wakaungana na kuamua kummaliza!
Tulishaeleza huko nyuma ,angalia page ya kwanza.
 
Na huu ndo ubaya wa vyombo vyetu vya usalama, unaweza kutana na rafiki yako leo, usiku likatokea tukio huko aliko na mishe zake labda kavamiwa na kuuawa, ukawa na wewe ni mingoni mwa watuhumiwa kisa tu ulikuwa wa mwisho kumpigia simu ukimuuliza kama yupo nyumbani.
Yap hilo ni gundu lakini utachukuliwa kwa ajili ya kulisaidia jeshi la polisi ,utaminywa MBUPU na wakiona uhusiki unaachiwa.
 
Tanzania kuna maserial killa kibao wanaranda mitaani
Watu wengi washafanya matukio na hawajakamatwa

Ova
Yes hao ni makonki ambao wapo very professional.....wanajua jinsi ya kuruka viunzi vya vyombo vya dola.
 
Ni bora ukajitafakari, maana matusi yanapatikana kwa mtu ambaye amefulia uwezo wa kujenga hoja.
Kumuambia asiye na akili kwamba hana akili haijawahi kuwa matusi, labda Kama hujui kiswahili
 
Mapenzi
Marehemu alikua na mahusiano na happiness,ilhali ni mke wa mtu wa huyo jamaa bomangombe.jamaa ni wa bomangombe,bibie anaitwa lema nae wa huko huko.
Labda ni wanandoa waliotengana

Waliotelekeza uchinjaji ni wazee WA kazi Mputo na mwenzie wote wanaishi kigogo kati ukanda wa wahuni na wamejipachika majina ya kazi(kawaida ya vibaka)
Na hukobko wanakoishi kigogo kati unapita mto msimbazi alipookotwa James.

Bibie Inaonyesha alishapokea vitisho lakini akapuuzia,pengine aliambiwa bwanako kashauliwa ila hakuamini,akimpigia James hapatikani(huku familia ya James nayo wanamtafuta hawampati)
Akakumbika nana namba ya mamake James akmpigia kuthibitisha

Huyu dada amerahisiaha ukamataji,Nina hakika alipokamatwa akamtaja huyo jamaa wa Kilimanjaro,nae wa Kilimanjaro akawataja vibaka wake wa kigogo kati.
Nimehisi tu
 
Ngoja tumsikie muliro atakuja na majibu gani
Maana wengine wanasema dogo sijuwi alikiwa winger kko...kuna mambo ya sim blah blah
Wengine mapenzi nao wanasema

Ova

Kwa hao waliokamatwa hawali hapo 100% ni Mapenzi.

Ofisa maabara - Kilimanjaro - Sponsor/Mwenye mali
Hapinness - Mfamasia/Msteshonalist - Demu wa ofisa maabara.
Tambali - Mandonga Mtu Kazi -Killer
Mputo - Mandonga Mtu Kazi - Killer
 
Mapenzi
Marehemu alikua na mahusiano na happiness,ilhali ni mke wa mtu wa huyo jamaa bomangombe.jamaa ni wa bomangombe,bibie anaitwa lema nae wa huko huko.
Labda ni wanandoa waliotengana

Waliotelekeza uchinjaji ni wazee WA kazi Mputo na mwenzie wote wanaishi kigogo kati ukanda wa wahuni na wamejipachika majina ya kazi(kawaida ya vibaka)
Na hukobko wanakoishi kigogo kati unapita mto msimbazi alipookotwa James.

Bibie Inaonyesha alishapokea vitisho lakini akapuuzia,pengine aliambiwa bwanako kashauliwa ila hakuamini,akimpigia James hapatikani(huku familia ya James nayo wanamtafuta hawampati)
Akakumbika nana namba ya mamake James akmpigia kuthibitisha

Huyu dada amerahisiaha ukamataji,Nina hakika alipokamatwa akamtaja huyo jamaa wa Kilimanjaro,nae wa Kilimanjaro akawataja vibaka wake wa kigogo kati.
Nimehisi tu
Imeisha hiyo .....Mwana maabara kama ana fungu anaweza kuchomoka kwenye hiyo kesi kwa maana yeye hakutekeleza mauaji ,anaweza kuchomoka kama Yule Ofisa wa Polisi kwenye kesi ya nyundo ,anaweza kuchomoka kama kesi ya Zombe na mauaji ya wafanyabiashara wa madini.

Ushahidi wa mazingingira unaweza kumuokoa mwana maabara ,kama tukio limetokea Dar na yeye alikuwa Bomangombe siku ya tukio na hakuwahi kuja Dar itamsaidia even hata kulikuwa na communication na Killers(Mputo na Tambali).
 
Na huu ndo ubaya wa vyombo vyetu vya usalama, unaweza kutana na rafiki yako leo, usiku likatokea tukio huko aliko na mishe zake labda kavamiwa na kuuawa, ukawa na wewe ni mingoni mwa watuhumiwa kisa tu ulikuwa wa mwisho kumpigia simu ukimuuliza kama yupo nyumbani.
Kwahiyo mkuu unashauri aliyeongea na marehemu au aliyekuwa na marehemu kwa mara ya mwisho asiguswe? Soma na fuatilia namna upelelezi kutoka mataifa makubwa hufanyika mfano fuatilia namna walipuaji wa ubalozi wa US huko Tanzania walivyokamatwa. Hakitakiwi kuachwa kitu hata kidogo sana .
 
Imeisha hiyo .....Mwana maabara kama ana fungu anaweza kuchomoka kwenye hiyo kesi kwa maana yeye hakutekeleza mauaji ,anaweza kuchomoka kama Yule Ofisa wa Polisi kwenye kesi ya nyundo ,anaweza kuchomoka kama kesi ya Zombe na mauaji ya wafanyabiashara wa madini.

Ushahidi wa mazingingira unaweza kumuokoa mwana maabara ,kama tukio limetokea Dar na yeye alikuwa Bomangombe siku ya tukio na hakuwahi kuja Dar itamsaidia even hata kulikuwa na communication na Killers(Mputo na Tambali).
Wakitrack mawasiliano yake si itaonyesha ye ndio ametoa order.ataruka vipi?
Si itaonyesha audio za vitisho
Anakwepaje?
 
Erythrocyte kwa hili, huoni aibu na uzi wako

Huyo Erythrocyte naye anafaa kukamatwa. Afande Muliro fanya kazi yako😎

Cc: Mimi Wewe Yule
 
Kwahiyo nikifanya umafia nitupe baharini simu ya muhusika si ndio? Au wataenda mitandao ya simu kucheck no zangu?
Ha ha ha pretty, kwani hio handset si kopo tu? Data zote zinabaki kwenye server za service provider. Wachunguzi wanaonba namba zote zilizowasiliana/alizowasiliana na victim. Wanaanza kufuatilia trend kama kuna msg ndio rahisi zaidi. Pia mawasiliano yataonesha waliowasiliana nae walikuwa wapi(minara ndio inasema hapa). Sasa wewe wadanganye siku ya tukio ulikuwa Rombo huku simu yako inaonesha uliitumia ukiwa Mbagala.
 
Imeisha hiyo .....Mwana maabara kama ana fungu anaweza kuchomoka kwenye hiyo kesi kwa maana yeye hakutekeleza mauaji ,anaweza kuchomoka kama Yule Ofisa wa Polisi kwenye kesi ya nyundo ,anaweza kuchomoka kama kesi ya Zombe na mauaji ya wafanyabiashara wa madini.

Ushahidi wa mazingingira unaweza kumuokoa mwana maabara ,kama tukio limetokea Dar na yeye alikuwa Bomangombe siku ya tukio na hakuwahi kuja Dar itamsaidia even hata kulikuwa na communication na Killers(Mputo na Tambali).
Labda awe pro crook. Kama raia wa kawaida tu ata Crack under pressure
 
Wakitrack mawasiliano yake si itaonyesha ye ndio ametoa order.ataruka vipi?
Si itaonyesha audio za vitisho
Anakwepaje?
Ushihidi wa kidigitali una mantiki nyingi sana ,audio mtu anaweza akakana akasema ni AI siyo yeye ,Ushahidi usio na shaka ni wa DNA.

Kuwasiliana na mtu siyo kosa kisheria.
 
Ila mambo ya mapenzi ni usengee sana, usipotumia akili na kucontrol emotions..imagine unapekua simu ya mke wako hapo amelala fo fofo, unaanza kuperuzii taratibu unakuta mameseji mengi ya kimapenzi mojawapo imeandikwa hivi " Baby safari hii tukikutana nataka nikunyonye mstari wa mnduku hadi ukojoe hapo ni temba anamwambia, na happy nae anajibu " safari hii ntakunyonya na kukulamba mbooo mpaka ukojoe mdomoni" 🙆🙆

Maniner Afisa maabara lazime aape na kuahidi mizimu ya babu yake wa kichaga kwamba lazima amuue tembaa na lazima wamletee kichwa ili aconfirm kama kweli kafa!

Mapenzi ni usengee!
 
Ushihidi wa kidigitali una mantiki nyingi sana ,audio mtu anaweza akakana akasema ni AI siyo yeye ,Ushahidi usio na shaka ni wa DNA.

Kuwasiliana na mtu siyo kosa kisheria.
Msala wanabaki nao wazee Wa kigogo kati
Mi nahisi kichwa chake pia walikitupa mtoni sema kikalenda Hadi bahatini ila mwili ndio ukakwama.

Ukute wanauwaga sana namna hii,mtu anatafutwa miaka nenda Rudi kumbe..
 
Ila mambo ya mapenzi ni usengee sana, usipotumia akili na kucontrol emotions..imagine unapekua simu ya mke wako hapo amelala fo fofo, unaanza kuperuzii taratibu unakuta mameseji mengi ya kimapenzi mojawapo imeandikwa hivi " Baby safari hii tukikutana nataka nikunyonye mstari wa mnduku hadi ukojoe hapo ni temba anamwambia, na happy nae anajibu " safari hii ntakunyonya na kukulamba mbooo upizi mpaka ukojoe mdomoni" 🙆🙆

Maniner Afisa maabara lazime aape na kuahidi mizimu ya babu yake wa kichaga kwamba lazima amuue tembaa na lazima wamletee kichwa ili aconfirm kama kweli kafa!

Mapenzi ni usengee!
Hatari sana ,haya mambo ni kuyaombea yasikukute maana maamuzi yake huwa yanakuwa mabaya na hata ukirudishwa nyuma hutaweza kufanya baada ya kuyatenda maana inakuwa MAJUTO MJUKUU.
 
Back
Top Bottom