Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,904
- 19,734
Hili swala unaonekana uko indeep nalo sana Mzee, itabidi uwape polisi ushirikiano. Ngoja niwape namba zako
Polisi wameconfirm issue mbili katika mauaji ya James Temba.
1.Ushirikina - Kwasababu Kichwa kimekutwa kwa Mganga kimefukiwa ,hapa Mganga anaingia matatizoni kwasababu wale wauaji inaonekana wamekula kotekote ,wamekula Dili kwa Ofisa Maabara kutekeleza mauaji ya Mshukiwa wake aliyekuwa anamtafuna Mpenzi wake(James) na pia wamekula Dili kwa Mganga ambaye na yeye alikuwa anahitaji kichwa cha mtu kwa ajili ya issue zake za utapeli/ushirikina wa kiganga.
2.Mapenzi - Tulishaeleza mapenzi katika page ya kwanza.