Joseph Isaack
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 450
- 89
Nipo Magu Mwanza/msingi, kwa Mwl. Kutoka Morogoro, Kibaha, Mkuranga , Bagamoyo au Dar nichek.0682 279435.
Mimi nipo dar temeke nataka mtu wa kutoka singida mjini
Nasikitika kusema kuwa walimu wengi hawana adabu,kwan wanaweka maombi ya kuhama halafu unatumia muda wako na fedha zako kuwaunganisha halafu unawatumia sms kwenye namba walizoandika hawajibu.mtabaki hukohuko had muelimike kwanza,siwaunganishi tena walimu
mi nipo manispaa ya morogoro nataka kwenda kasulu kigoma
Nasikitika kusema kuwa walimu wengi hawana adabu,kwan wanaweka maombi ya kuhama halafu unatumia muda wako na fedha zako kuwaunganisha halafu unawatumia sms kwenye namba walizoandika hawajibu.mtabaki hukohuko had muelimike kwanza,siwaunganishi tena walimu
Njoo babati,Niende mwanza mjini,0765900781
Mimi nipo dar temeke nataka mtu wa kutoka singida mjini
mimi nipo kinondoni dsm nataka kuhamia mtwara,songea au lindi pamoja na iringa au mbeya
Nasikitika kusema kuwa walimu wengi hawana adabu,kwan wanaweka maombi ya kuhama halafu unatumia muda wako na fedha zako kuwaunganisha halafu unawatumia sms kwenye namba walizoandika hawajibu.mtabaki hukohuko had muelimike kwanza,siwaunganishi tena walimu