vip kaka njoo mbinga mim nirudi hom singida
daah..kaka labda tufanye utaratibu ubandikiwe tangazo la kubadilishana hapa manispaa singida.,,..
sababu ya kuhama ni kukimbia hali ya hewa,,, maana sio rafiki kwa afya
vanmedy hiyo afya yataka Dsm na Morogoro tu? Acheni usanii, chapa kazi bwana. Kama wataka joto nenda Mtwara au Lindi. Nitashangaa umeandikiwa na daktari kihiyo kwamba una Asthma, utadhani Singida hawaishi wagonjwa wa aina hiyo.
kuna shule kama mwenge,senge,utemin,mungumaji,mitunduruni we upo shule gani?
Okay vanmedyni mgonjwa anayehudhuria kliniki muhimbili (regular attendant),.. Alishapata rufaa kutoka hospitali kuu ya mkoa.. Sasa vuta picha frequent safaris za dar-sgd,. Plus costs za matibabu (maana manispaa always hutoa excuse ya kukosa hela za kugharamikia matibabu-ugonjwa ni mkubwa mkuu)...
Mdau yuko town kabisa,. Lakini hali inakuwa tete.. It is not about leisure Mkuu Ozzie... Alisharuhusiwa kuhama tena full vielelezo, but ni zaidi ya mwaka anazinguliwa kupata nafasi''urasimu''
Npo mbeya (v) sekondari natka kwenda dodoma(kongwa-kibaigwa)
Mimi nipo Temeke! Vp una milion 7 hapo 2fanye biashara!
hivi wewe kabwela unaakili kweli?unahisi kupangwa temeke kunakifanya kuwa Mungu mtu mpaka umwambie mwenzako akupe milioni 7 ndo mbadilishane"!!! shika adabu yako ----- wee...
hivi wewe kabwela unaakili kweli?unahisi kupangwa temeke kunakifanya kuwa Mungu mtu mpaka umwambie mwenzako akupe milioni 7 ndo mbadilishane"!!! shika adabu yako ----- wee...