D___________Loy
Senior Member
- Jan 21, 2020
- 148
- 118
NJOO MUSOMA DC AJE ARUSHA DC,MERU ,HAI,MONDULI,BABATI,MOSHI DC NA MOSHI MC.IDARA ELIMU MSINGI KITENGO ELIMU MAALUM
Nicheki DM. Tuyajenge kwa niaba
NJOO MUSOMA DC AJE ARUSHA DC,MERU ,HAI,MONDULI,BABATI,MOSHI DC NA MOSHI MC.IDARA ELIMU MSINGI KITENGO ELIMU MAALUM
Siyo lazima.Naomba kuuliza kwenye uhamisho wa kubadilishana Kuna ulazima masomo yafanane na unayebadilishana nae? mfano wote ni arts ila tofaut wew una hist & eng na yeye ana his & kisw... msaada
AsanteSiyo lazima.
Habari samahani wee unafanya kazi mkoa Gani na ngazi ipiVip nichek inbox
Njoo masasi mkuunatafuta wa kubadilishana nae njoo mbeya nije dar , moro , tanga au pwani
Huko wanaenda wneyewe tu Broo kupata mtu ni golden chancenina miaka isiyopungua 6 humu, na miaka isiyopungua 5 kazini lakini sijawahi ona wala kupata mtu anataka kuja Ruangwa, why?
Jamani ofa hii
Anayetaka aje Ruangwa mimi niende popote aliko tofauti na kusini yaani Lindi, Mtwara, Ruvuma nk
Yupo mtu kahama, msinginjoo ruangwa lindi nije popote ulipo isipokuwa mikoa ya kusini (lindi, mtwara, ruvuma nk)
Njoo Kagera-Ngara mimi niende maeneo yafuatayo:-
*Geita Katoro
*Bunda Mara
*Magu
*Misungwi
*Butiama
*Musoma Municipal
*Sengerema
*Tarime
*Rorya
*Kahama Municipal
*Busegwa
*Ramadi
Kwa yoyote aliyetayari nicheck in box. Idara yangu ni elimu sekondari na ninafundisha Mathematics na Geography.