Itug
Senior Member
- Mar 19, 2011
- 195
- 68
No way!Njoo masasi mji pako poa sana nije hapo songea
No way!Njoo masasi mji pako poa sana nije hapo songea
SawaNjoo songea manispaa niende mko wowote ISIPOKUWA Mikoa ya kusini yote pamoja na kanda ya ziwa!
Idara sekondari
Inbox for details!
Umeshapata mtu mwl? Niko songea mcNjoo Kahama mc aje Songea mc
Idara- sekondari,,,0753111212/0682483756.
Sawa mkuu! Ngoja nifanye moderation niitafute iyo!Sawa
Mkuu Kuna pinned thread inayohusu walimu wanaobadilishana vituo vya kazi jukwaa la walimu utapata walimu wengi wanaobadilishana vituo vya kazi
Njoo songea manispaa niende mko wowote ISIPOKUWA Mikoa ya kusini yote pamoja na kanda ya ziwa!Wangoni, wayao, wanyassa, na wengine wote ambao ni waalimu na vituo vyenu vya kazi ni nje ya Ruvuma kwanini hamtaki kurudi kwenu? Mwenzenu yuko Songea mjini kabisa anatafuta mwalim yeyote kutoka kaskazini aende Songea ili mwalimu ahamie mkoa wowote kaskazini! Inaonekana mkitoka songea hamtaki kurudi kabisa! , Ni karibu mwaka mzima sasa mwalim anatafutwa!
asante ila mafinga ndo nyumbani nina projects zangu hapo nataka niwe karibuNjoo songea mc mwl
wacha niche kwanza!ONA JINSI MNAHANGAIKA KUBADILISHANA VITUO VYA KAZI.
YOTE HAYO KISA MLIFELI FORM 4
NAWASHAURI ACHANENI NA UALIMU FANYENI BIASHARA ZINGINEE
KATAAA UALIMU NI LAAANAAA
Nielekeze mkuu niitafute vipiSawa
Mkuu Kuna pinned thread inayohusu walimu wanaobadilishana vituo vya kazi jukwaa la walimu utapata walimu wengi wanaobadilishana vituo vya kazi
SawaNielekeze mkuu niitafute vipi
Mkuu ushatuma hiyo 50k!!?ONA JINSI MNAHANGAIKA KUBADILISHANA VITUO VYA KAZI.
YOTE HAYO KISA MLIFELI FORM 4
NAWASHAURI ACHANENI NA UALIMU FANYENI BIASHARA ZINGINEE
KATAAA UALIMU NI LAAANAAA
Mkuu ushatuma hiyo 50kKATAAA UALIMU NI LAAANAAAA
Kataa vilaza ni laanaONA JINSI MNAHANGAIKA KUBADILISHANA VITUO VYA KAZI.
YOTE HAYO KISA MLIFELI FORM 4
NAWASHAURI ACHANENI NA UALIMU FANYENI BIASHARA ZINGINEE
KATAAA UALIMU NI LAAANAAA
Utaweza kuja KYERWA??